Kwa kweli [emoji123]'Robert unapotea ndugu yangu'
Alisikika mshamba.
Wao hutowaskia wakiongelea 'Mr.jf' jinsia me tupunguze shobo[emoji28]
Eti una 2/100 šš¤£šKhaaaa huu ni udhalilishaji walai... š¤£
𤣠𤣠š¤£
Naona kura zimepigwa kulingana na mdomo wa mtu..watu wanapenda maneno laini laini...
Ila hapa kwa Faiza wanaume mna wivu tuu mmeshindwa nini kumpigia kura Donatila akachukua...mdada wa Mungu..
Hayanitishi kwa sbb I know myself....Eti una 2/100 šš¤£š
Hawajui kuwa wewe ni gadem kisu šHayanitishi kwa sbb I know myself....
Yani hapo ni kama unagawiwa pepa na ticha wa Mathe... š š š wa tatu kutoka mwisho..
Wala sio gadem kiiivyo ila sio wa kushika namba za mkiani... š šHawajui kuwa wewe ni gadem kisu š
Embu tukuone šWala sio gadem kiiivyo ila sio wa kushika namba za mkiani... š š
Tumewaona pmMmejuaje kama ni warembo bila picha
Nitumie picha zao nami niwaone walivyo warembo, naweza tupa ndoano kwa mmoja waoTumewaona pm
Utaleta ushindani sehem ambayo tayari ina foleniNitumie picha zao nami niwaone walivyo warembo, naweza tupa ndoano kwa mmoja wao