Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Nyooo mi mwenyewe mfirauni....!OHOOO UNASEMA KWELI????
WANAANZIAGA HUKOHUKO UZANEM MARA KITU KINAITIKA WAGWAN TUNAMIMINA ZEGE KIUKWELIUKWEL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyooo mi mwenyewe mfirauni....!OHOOO UNASEMA KWELI????
WANAANZIAGA HUKOHUKO UZANEM MARA KITU KINAITIKA WAGWAN TUNAMIMINA ZEGE KIUKWELIUKWEL
Bila picha hainogi! 😃Kwema Wakuu!
Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humuwengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo.
Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu ingetokea tuzo ya u-miss JF angeshinda kwa mwaka 2023?
Wagombea ni kama ifuatavyo
1@Kalpana
2 To yeye
3. amu
4. Nifah
5. Leejay49
6. Lovebird
7. Donatila
8. FaizaFoxy
9. Mrs Besyige
10. Depal
11. Demi
Miss JF 2023. Ameng'arisha
🤣🤣🤣🤣Nyooo mi mwenyewe mfirauni....!
Nyota hatuna sie kina chausikuKwa wengine hawaonekani au??
Sawa mkuu. Uzur mi sio mgomvi wala sijui kutukana!😀Basi uongezwe na wewe kwenye list kujazia jazia nyama
You can't serve two Lords concomitantly.Nikifanikiwa kuwa mgambo wa mlango wa mbinguni kamwe hutaingia😂😂😂😂😂
Hicho kitengo nimekuachia rasmi leo sio kwa hiyo dhambi ya bi chau😂You can't serve two Lords concomitantly.
Wewe tayari una kitengo Jehanamu.
😂😂😂😂acha tu yaanWanyaki wa mwakareli mmekutana
Za kupotea nkamu?Jamani[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Uzuri unanuachia kwa muda. Baadae nakuona unakitaka cheo chako.Hicho kitengo nimekuachia rasmi leo sio kwa hiyo dhambi ya bi chau😂
Wengine tumenyamaza tu maana, siri ya mtungi imo😂Za kupotea nkamu?
➡️➡️➡️ Mimi nachukuguliaga haya mashindano ya urembo kama udhalilishaji - kupalilia ile dhana kwamba mwanamke ni pambo tu na chombo cha starehe hapa duniani.
Hivi vigezo vya Miss vimebadilika?
I can imagine some of them ni mafurushi. Catwalk zao zinahitaji heels zenye unene wa nchi saba.
Mamiss used to be portable, soft skin, miguu ambayo vijana huita ya bia, nk
Hebu fikiria tu Litukunyema Faiza likipita, Yesu wangu!.....
Kumbe unafuatiliaga nyayo zangu mkuu😂😂Uzuri unanuachia kwa muda. Baadae nakuona unakitaka cheo chako.
Unavuna madhambi zaidi. Nitakubamba nikurudishie. Acha niwe nayo.
Bi Chau akifika tu hapa, nina uhakika unamparua 🤣🤣
Heshima yako S for shemuNdo maana nauchukia unene[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbeya kuna watoto wana milima hao balaaa nimemiss vitu vizuri Mbeya😂😂😂😂acha tu yaan
Hahahaaa.... Ngoja nimpigie kura kwanza.Usijiumeume, we taja tu mkuu. Huwezi jua nawe nawe ukajilia minyama kimya kimya mkuu!