Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mood...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Best reply of the year.😂😂😂yeah,kwako mie ni mrembo sana...hii haipingiki hii.....hii imeendaa.Barikiwa sana my dear!
😃😃😃sawaa Mkuu karibu sanaaHaha nyie watu wangu nyiee
Pakuwapata napajua 🤣
Amen my Boss🙏Best reply of the year.
Ulipotaka kuthibitisha kuwa ni katam ili iweje?Umeongea yote vizuri then hapo mwisho ukaharibu😍🤣🤣
Tuishie hapa mkuu🤣🤣Ulipotaka kuthibitisha kuwa ni katam ili iweje?
Itamu kwa utam au sio?
Umesha nusa mwisho wa mtanange sio?😂😂😂Tuishie hapa mkuu🤣🤣
Leejay49 , ana staha kwa kiasi kwamba anaweza kua serious na utani pia hachoshi, Amewahi nishauri kuhusu mapenzi na yakatimia mpaka leo sinaga shobo na Mapenzi.Kwema Wakuu!
Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humuwengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo.
Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu ingetokea tuzo ya u-miss JF angeshinda kwa mwaka 2023?
Wagombea ni kama ifuatavyo
1@Kalpana
2 To yeye
3. amu
4. Nifah
5. Leejay49
6. Lovebird
7. Donatila
8. FaizaFoxy
9. Mrs Besyige
10. Depal
11. Demi
Miss JF 2023. Ameng'arisha
Leejay49 kaovertake kwa speed ya 5G kweli GENTAMYCINE yupo Vereee
Kura yangu nakupa wewe mkuu mambo yasiwe mengiLeejay49 kaovertake kwa speed ya 5G kweli GENTAMYCINE yupo Vereee
Una wakili??Kura yangu nakupa wewe mkuu mambo yasiwe mengi
Una uhakika gani mimi ni mwanaume?Una wakili??
Una uhakika gani mimi ni mwanamke?
Unanipa kura kwani mimi uliniona mdada!?Una uhakika gani mimi ni mwanaume?
Hatuishi kwenye uhalisia humu😂
Shunie majukumu yamemzidi kawa adimu sanaShunie kura yangu iende kwako birthday girl.
Basi tupeaneUnanipa kura kwani mimi uliniona mdada!?
Kura yangu nakupa wewe😂