Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
[emoji3][emoji3]Unanipa kura kwani mimi uliniona mdada!?
Kura yangu nakupa wewe[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Unanipa kura kwani mimi uliniona mdada!?
Kura yangu nakupa wewe[emoji23]
Brother kama brother 😂😂Leejay49 kaovertake kwa speed ya 5G kweli GENTAMYCINE yupo Vereee
Mbona mimi hunishauriVizuri kama ulifanyia kazi ushauri wangu[emoji109][emoji109],, thank you though [emoji847][emoji847]
Unataka nikushauri nini mkuu😃😂😂Mbona mimi hunishauri
Nitakuambia private nisimwage mchele kwenye kuku wengiUnataka nikushauri nini mkuu[emoji2][emoji23][emoji23]
Ahsante pia🙂Vizuri kama ulifanyia kazi ushauri wangu👊👊,, thank you though 🤗🤗
Basi sawaNitakuambia private nisimwage mchele kwenye kuku wengi
Pamoja Sana🙏Ahsante pia🙂
Rekebisha kauli! Upeane na nani na tupeane nini😂Basi tupeane
hakuna kilichoharibika
Wewe pitia tuu comment utaona mchele wanavyotupiwa kuku, alafu baadae wanakuja kuliwa na waliJamaniii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwaache kijana na yeye atabasamu usifunge vioo sanaRekebisha kauli! Upeane na nani na tupeane nini[emoji23]
Hata hicho ulichokiwaza tukipeana ni sawa tu😋Rekebisha kauli! Upeane na nani na tupeane nini😂
Tutakutetea na Depal na Leejay49 pambania hadi kielewekeBasi tupeane
hakuna kilichoharibika
Uliambiwa utavunjwa miguu😂Hata hicho ulichokiwaza tukipeana ni sawa tu😋
aliyechapiwa na aliyevunjwa mguu nani ana hasara?🤣Uliambiwa utavunjwa miguu😂
mzee wa mipango hujatulia😂 umemkimbia depal unaenda kwa leejayTutakutetea na Depal na Leejay49 pambania hadi kieleweke
Aliyevunjwa miguu😂aliyechapiwa na aliyevunjwa mguu nani ana hasara?🤣
Heri ya sikukuu mrembo.Aliyevunjwa miguu😂