Hahah basi wawe wanaweka heading ya kuelewekaHumu JF hakuna yoyote anayejua labda ni ile chit chat, watu wanapunguza stress bana.!! ๐น๐น๐น
Kaingia tu ukumbini mfuko wa shati umetunaHuyu Mtibeli kaja na wagombea wake wa mfukoni....
Watu wanachukulia mambo ya humu serious aaaaahhh kmamamaeeee.....Eli Cohen punguza makasiriko na uchungu mwingi, sometimes acha watu wapunguze mikazo ya mambo ya maisha, sioni sababu ya kuanza kuponda hii Poll kama haupendezwi ignore tu na maisha yaendelee.
Robert Heriel Mtibeli update hiyo orodha lasivyo utakuwa umewadhulumu ambao wanataka hili pambano nao wapambanie ๐.
Nimeona umewafungulia uzi kabisaa nimecheka ๐คฃ๐น๐น๐น๐นH
Hahah basi wawe wanaweka heading ya kueleweka
Angaalu uzi usomeke "yupi unaemdhania ni mrembo zaidi"??
Eli Cohen punguza makasiriko na uchungu mwingi, sometimes acha watu wapunguze mikazo ya mambo ya maisha, sioni sababu ya kuanza kuponda hii Poll kama haupendezwi ignore tu na maisha yaendelee.
Robert Heriel Mtibeli update hiyo orodha lasivyo utakuwa umewadhulumu ambao wanataka hili pambano nao wapambanie ๐.
Khaah ๐คฃ๐คฃ๐๐พKuna mmoja hivi Mshamba fulani, mpenda Sifa na Umaarufu, Godoro la Wengi, anajifanya Mtu wa Info za Ndani, Keshabanduliwa na Njemba kadhaa hapa huku akijifanya Yeye ni JamiiForums na JamiiForums ni Yeye nashangaa katika List yako hayuko.
Hata hivyo kwa Sura yake mbaya, Kukondeana Kwake kama Fidodido, Ushamba alionao kuanzia Kwao / Alikokuwa amepanga Gongo la Mboto sijashangaa kutokuwepo na najua huko aliko Kanuna kweli kweli Kudadadeki zake.
Imeisha hiyo.
Hahah๐ !!Lastborn wetu finally nywila zimeachiwa๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mamamamaaa amiiinaaaaaa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃWatu wanachukulia mambo ya humu serious aaaaahhh kmamamaeeee.....
Kumbe Mjukuu ni kisu hivyo hadi anashindanishwa Umiss๐Nipo shogaangu nimerudi, kura yangu unayo na kombe lazima uchukue sisi wachambuzi tulishalisema hili mapemaaaa ๐๐๐
Nkamu Saint Anne njoo huku tumpigie kura mahi wetu kapeace ๐น๐น๐น
Babu Grahams njoo upige kura bibi yuko nominated ๐
Kitambi cha bia na michemsho
Naona unaongoza zoeziKitambi cha bia na michemsho