Alaaah alaaaah...😃😃😃Jamiiforums tupo madem wawili tu, mimi na Lamomy
Hao wengine wote uliowataja ni MADUME TUPU, sasa ujichanganye utadinywa WOWOWO.
Kuna mmoja hapo ni OSTAZI lenye madevu. Cc: FaizaFoxy
Cc: Kalpana Kapeace Poor Brain Extrovert binti kiziwi Bantu Lady Mpaji Mungu
🤣🤣🤣🤣🥰Mjumbe naomba tuonane tuonaneee pale runway pub.....😀
Hadi sasa kura za wajumbe zimefika afu mbili nsipotangazwa....nitakachokifanya nisilaumiwe🤣🤣🤣🤣🥰
Faiza kumbe ni ostadh ...Jamiiforums tupo madem wawili tu, mimi na Lamomy
Hao wengine wote uliowataja ni MADUME TUPU, sasa ujichanganye utadinywa WOWOWO.
Kuna mmoja hapo ni OSTAZI lenye madevu. Cc: FaizaFoxy
Cc: Kalpana Kapeace Poor Brain Extrovert binti kiziwi Bantu Lady Mpaji Mungu
🤣🤣Hapo nimechemka🤦Kwa hiyo hao wadada ni single moms?
Ningekuja ila nawaogopa wazee wetu wa Simba, ni wakali mno.Tuonane pale simba kapatwa pub, nna jambo na wewe.....
She is very cute aisee.... huhitaji mboga Wala ugali kwa pichaNiliwahi kuangukia sehemu picha ya Bantu Lady. Kwa ile picha japo ilikuwa nusu ana deserve kuwa Miss Jf na ni bantu lady kiuhalisia.
Unaharibu bwana, tunaangalia mwandiko🤣🤣🤣Hivi hili shindano lipo?? Hebu acheni masihara basi .. wengine hata visogo tuu hamvijui huo urembo vipi....au ni ze wey mnasoma mwandiko wa mtu hapa Jeifu...😀😀😀😀
Hapo labda sisi wa kule selfika naweza kupiga kura
Bantu Lady
Kapeace
To yeye hao nimeshawaona japo nusu sura...ni warembo inlcuding me...😀😄😄
Ahaha kumbee basi mai dia...😃😃😃Unaharibu bwana, tunaangalia mwandiko🤣🤣🤣
Mbona madam cocastic hayupo kwa list , na huyu hapa Mshangazi wetu 😁Mpo salama Wakuu!
Mwaka Jana FaizaFoxy aliibuka kidedea Kwa kuwa Mrembo zaidi humu JF ingawaje wengine walisema ni mwanaume Wengine wakasema ni Bibi kikongwe. Lakini yôte Kwa yôte yeye ndiye aliibuka kidedea.
Sasa Kwa Mwaka huu tutakuwa na orodha ifuatayo.
1. Midekoo
2. Palina
3. binti kiziwi
4. Kapeace
5. Mamndenyi
6. Evelyn Salt
7. loviesundy
8. To yeye
9. Kalpana
10. Numbisa.
VIGEZO
1. Hisia zako hasa (schema) yàani ubongoni mwako unahisi ni mzuri hata kama hujamwona.
2. Michango Yake inafurahisha na kukufanya uone uwèpo wake JF unakupa Raha.
3. Unahisi anatabia Njema hata kama yeye mwenyewe kiuhalisia huenda ni kichomi😊😊
Hutaki Kúpiga Kura pita kushoto.
Tena waambie wasijichanganyeJamiiforums tupo madem wawili tu, mimi na Lamomy
Hao wengine wote uliowataja ni MADUME TUPU, sasa ujichanganye utadinywa WOWOWO.
Kuna mmoja hapo ni OSTAZI lenye madevu. Cc: FaizaFoxy
Cc: Kalpana Kapeace Poor Brain Extrovert binti kiziwi Bantu Lady Mpaji Mungu
Mi naogopa bana 🙈🙈Alaaah alaaaah...😃😃😃
jamanii we kaka sio kweli[emoji28] wengine tunawafahamu few of demTUKISEMA HATA WAPEWE TUZO HAO WATU WAWEKE PICHA ZAO, TUTAONA WATU WA KALE KWA 75% NA WAZEE KWA 15% na MASHANGAZI NAMBA A KWA 10%, AMIN AMININI HAKUNA KIJANA KATI YAO HAO WATU HAPO JUU