Miss Natafutwa nimeshapata Kazi, Asanteni wote mlionipambania ❤️❤️❤️

Miss Natafutwa nimeshapata Kazi, Asanteni wote mlionipambania ❤️❤️❤️

Chai chapati 2

FB_IMG_1738178399740.jpg


Comment tayari...
 
Dear, anayekarabati nyumba baadae apangishe ni huyo huyo shemeji ama umepata watu watatu tofauti? Wa kazi, wa nyumba na ndoa?
Hapana mpenzi.
Nyumba ni yangu, nilijenga kitambo ila haikuwa imekamilika.
Nilitaka kuiuza ili angalau nipate unafuu wa maisha, ila nikasema Hapana, huenda nitapata wazo.
Hivo nikaamua nitafute kazi ila nisipopata ndipo niiuze, ila nashukuru Mungu kazi nimepata. Na nyumba nimeingia mkataba na mtu wa kupanga ila anaimalizia kwanza kisha tutaangalia gharama.
 
Ila watu wa humu, aiseeee🙌🙌🙌🙌
Anyway, turejee uzi wangu huu
Kiufupi wengi walikuwa pamoja nami katika kipindi kifupi kilichopita cha msoto wa kutafuta kazi na mengineyo.
Wapo walionisaidia kwa moyo mmoja (hawa nawashukuru sana sana)
Na wapo waliotaka mambo yao binafsi (Mungu awasamehe).

Kiufupi nimepata kazi baada ya kupita vizuri kwenye interview (sisemi kazi gani maana humu wachawi wa maendeleo mmejaa kibao)

Na kuhusu nyumba yangu, nimepata mtu ambaye kasema ataimalizia kwa gharama zake kisha atapanga ili kufidia gharama alizotumia kuimalizia, nimeona sawa na tumeandikishiana na sasa ameshaanza kuikamilisha.

Ninachotaka kuwaambia tu wana JF

Msikariri maisha na msijaribu hata siku moja kumkatisha mtu tamaa kwa hali aliyoipitia au anayoipitia.
Mungu ndiye agawaye na apokonyae riziki.

Mlinisimanga sana na kunipa kila aina ya matusi ila yote niliyapokea na kuyafanyia kazi ili kuona wapi panahitaji marekebisho.

Wanakwambia tumia dharau zao kujifunza zaidi ulipokosea...pia hawa nao nawashukuru kwani walinipa chachu ya kuendelea kupambana.

Na lingine la mwisho, nimempata mzee mwenzangu, na Mungu akijalia kheri mwezi wa 6 nafunga ndoa takatifu ya kikristo.

Na nilishamueleza maisha niliyopitia huko nyuma, hivo sitaki kukumbushwa.

Ila kikubwa ninachowaambia wanawake wenzangu MSIKATE TAMAA, Jf wapo watu wengi sana sana sana wenye mioyo ya huruma na upendo wa kusaidia wengine ila tu, huwezi kuwaona kwa macho mpaka upate shida.

Nimepata kazi
Nimepata mume
Na nyumba yangu inakamilishwa.

WAKATI WA MUNGU, NI WAKATI SAHIHI.
NITALISIFU JINA LAKE MILELE.


MHUBIRI 3:1
View attachment 3218096View attachment 3218095
Haya Wana jf mshamalizana na hyu dada njooni kwangu sasa
 
m
Ila watu wa humu, aiseeee🙌🙌🙌🙌
Anyway, turejee uzi wangu huu
Kiufupi wengi walikuwa pamoja nami katika kipindi kifupi kilichopita cha msoto wa kutafuta kazi na mengineyo.
Wapo walionisaidia kwa moyo mmoja (hawa nawashukuru sana sana)
Na wapo waliotaka mambo yao binafsi (Mungu awasamehe).

Kiufupi nimepata kazi baada ya kupita vizuri kwenye interview (sisemi kazi gani maana humu wachawi wa maendeleo mmejaa kibao)

Na kuhusu nyumba yangu, nimepata mtu ambaye kasema ataimalizia kwa gharama zake kisha atapanga ili kufidia gharama alizotumia kuimalizia, nimeona sawa na tumeandikishiana na sasa ameshaanza kuikamilisha.

Ninachotaka kuwaambia tu wana JF

Msikariri maisha na msijaribu hata siku moja kumkatisha mtu tamaa kwa hali aliyoipitia au anayoipitia.
Mungu ndiye agawaye na apokonyae riziki.

Mlinisimanga sana na kunipa kila aina ya matusi ila yote niliyapokea na kuyafanyia kazi ili kuona wapi panahitaji marekebisho.

Wanakwambia tumia dharau zao kujifunza zaidi ulipokosea...pia hawa nao nawashukuru kwani walinipa chachu ya kuendelea kupambana.

Na lingine la mwisho, nimempata mzee mwenzangu, na Mungu akijalia kheri mwezi wa 6 nafunga ndoa takatifu ya kikristo.

Na nilishamueleza maisha niliyopitia huko nyuma, hivo sitaki kukumbushwa.

Ila kikubwa ninachowaambia wanawake wenzangu MSIKATE TAMAA, Jf wapo watu wengi sana sana sana wenye mioyo ya huruma na upendo wa kusaidia wengine ila tu, huwezi kuwaona kwa macho mpaka upate shida.

Nimepata kazi
Nimepata mume
Na nyumba yangu inakamilishwa.

WAKATI WA MUNGU, NI WAKATI SAHIHI.
NITALISIFU JINA LAKE MILELE.


MHUBIRI 3:1
View attachment 3218096View attachment 3218095
mbonabkama unawasuta watu humu
 
Nasema tena.........kama ni used basi ya dubai ........dada mnato unao..........watu hawawezi ku fund kirahisi rahisi tu...........nasema tena mabano unayo na kingo zipo tukijipimia na vibamia vyetu tunajisikia ..........hongera kwa kuitunza na kuitumia kwa akili
 
Back
Top Bottom