Miss Natafutwa nimeshapata Kazi, Asanteni wote mlionipambania ❤️❤️❤️

Miss Natafutwa nimeshapata Kazi, Asanteni wote mlionipambania ❤️❤️❤️

unapata faida gani kuandika uongo ambao hakusaidii lolote zaidi ya kujidhalilisha huu.vyote ulivyoandika ni pumba tu ili kutetea ule uzi wako wa kitapeli ambao watu walikustukia sasa unataka kujaribu kijificha kwenye kichaka cha umepata kazi,umepata mume na umejenga ndani ya wiki mbili
 
Ila watu wa humu, aiseeee🙌🙌🙌🙌
Anyway, turejee uzi wangu huu
Kiufupi wengi walikuwa pamoja nami katika kipindi kifupi kilichopita cha msoto wa kutafuta kazi na mengineyo.
Wapo walionisaidia kwa moyo mmoja (hawa nawashukuru sana sana)
Na wapo waliotaka mambo yao binafsi (Mungu awasamehe).

Kiufupi nimepata kazi baada ya kupita vizuri kwenye interview (sisemi kazi gani maana humu wachawi wa maendeleo mmejaa kibao)

Na kuhusu nyumba yangu, nimepata mtu ambaye kasema ataimalizia kwa gharama zake kisha atapanga ili kufidia gharama alizotumia kuimalizia, nimeona sawa na tumeandikishiana na sasa ameshaanza kuikamilisha.

Ninachotaka kuwaambia tu wana JF

Msikariri maisha na msijaribu hata siku moja kumkatisha mtu tamaa kwa hali aliyoipitia au anayoipitia.
Mungu ndiye agawaye na apokonyae riziki.

Mlinisimanga sana na kunipa kila aina ya matusi ila yote niliyapokea na kuyafanyia kazi ili kuona wapi panahitaji marekebisho.

Wanakwambia tumia dharau zao kujifunza zaidi ulipokosea...pia hawa nao nawashukuru kwani walinipa chachu ya kuendelea kupambana.

Na lingine la mwisho, nimempata mzee mwenzangu, na Mungu akijalia kheri mwezi wa 6 nafunga ndoa takatifu ya kikristo.

Na nilishamueleza maisha niliyopitia huko nyuma, hivo sitaki kukumbushwa.

Ila kikubwa ninachowaambia wanawake wenzangu MSIKATE TAMAA, Jf wapo watu wengi sana sana sana wenye mioyo ya huruma na upendo wa kusaidia wengine ila tu, huwezi kuwaona kwa macho mpaka upate shida.

Nimepata kazi
Nimepata mume
Na nyumba yangu inakamilishwa.

WAKATI WA MUNGU, NI WAKATI SAHIHI.
NITALISIFU JINA LAKE MILELE.


MHUBIRI 3:1
View attachment 3218096View attachment 3218095

Mimi nachojuwa ulisema uongo kuhusu Ada ya mdogo wako maana Nilikuwa tayari kumsaidia kabisa ukazuia details zako, Kama kwenye lile ulikuwa muongo; Hata hapa I consider wewe ni Muongo.
 
Swaga tu😂, post yako Ile ilikua Jan 12,2025. Yaan ushafanya interview na kuitwa kazini tyr ndani ya wiki mbil 😂?? Na mzee ushampata? Basi story yako ulikua unatu enjoy tu. ?
Kama ndo simple kiasi hicho bs fanya jambo na sisi tupunguze msongo wa mawazo.
Tupe hata muongozo tu
 
Ila watu wa humu, aiseeee🙌🙌🙌🙌
Anyway, turejee uzi wangu huu
Kiufupi wengi walikuwa pamoja nami katika kipindi kifupi kilichopita cha msoto wa kutafuta kazi na mengineyo.
Wapo walionisaidia kwa moyo mmoja (hawa nawashukuru sana sana)
Na wapo waliotaka mambo yao binafsi (Mungu awasamehe).

Kiufupi nimepata kazi baada ya kupita vizuri kwenye interview (sisemi kazi gani maana humu wachawi wa maendeleo mmejaa kibao)

Na kuhusu nyumba yangu, nimepata mtu ambaye kasema ataimalizia kwa gharama zake kisha atapanga ili kufidia gharama alizotumia kuimalizia, nimeona sawa na tumeandikishiana na sasa ameshaanza kuikamilisha.

Ninachotaka kuwaambia tu wana JF

Msikariri maisha na msijaribu hata siku moja kumkatisha mtu tamaa kwa hali aliyoipitia au anayoipitia.
Mungu ndiye agawaye na apokonyae riziki.

Mlinisimanga sana na kunipa kila aina ya matusi ila yote niliyapokea na kuyafanyia kazi ili kuona wapi panahitaji marekebisho.

Wanakwambia tumia dharau zao kujifunza zaidi ulipokosea...pia hawa nao nawashukuru kwani walinipa chachu ya kuendelea kupambana.

Na lingine la mwisho, nimempata mzee mwenzangu, na Mungu akijalia kheri mwezi wa 6 nafunga ndoa takatifu ya kikristo.

Na nilishamueleza maisha niliyopitia huko nyuma, hivo sitaki kukumbushwa.

Ila kikubwa ninachowaambia wanawake wenzangu MSIKATE TAMAA, Jf wapo watu wengi sana sana sana wenye mioyo ya huruma na upendo wa kusaidia wengine ila tu, huwezi kuwaona kwa macho mpaka upate shida.

Nimepata kazi
Nimepata mume
Na nyumba yangu inakamilishwa.

WAKATI WA MUNGU, NI WAKATI SAHIHI.
NITALISIFU JINA LAKE MILELE.


MHUBIRI 3:1
View attachment 3218096View attachment 3218095
Hongera saaana madam Mungu ni mwema kila wakati!!!ila kuna swali 1 niliwahi kukuuliza na ukakausha hivi UDSM kuna diploma ya Education????na ulihitimu mwaka gani?
 
Pole na hongera
Ila watu wa humu, aiseeee🙌🙌🙌🙌
Anyway, turejee uzi wangu huu
Kiufupi wengi walikuwa pamoja nami katika kipindi kifupi kilichopita cha msoto wa kutafuta kazi na mengineyo.
Wapo walionisaidia kwa moyo mmoja (hawa nawashukuru sana sana)
Na wapo waliotaka mambo yao binafsi (Mungu awasamehe).

Kiufupi nimepata kazi baada ya kupita vizuri kwenye interview (sisemi kazi gani maana humu wachawi wa maendeleo mmejaa kibao)

Na kuhusu nyumba yangu, nimepata mtu ambaye kasema ataimalizia kwa gharama zake kisha atapanga ili kufidia gharama alizotumia kuimalizia, nimeona sawa na tumeandikishiana na sasa ameshaanza kuikamilisha.

Ninachotaka kuwaambia tu wana JF

Msikariri maisha na msijaribu hata siku moja kumkatisha mtu tamaa kwa hali aliyoipitia au anayoipitia.
Mungu ndiye agawaye na apokonyae riziki.

Mlinisimanga sana na kunipa kila aina ya matusi ila yote niliyapokea na kuyafanyia kazi ili kuona wapi panahitaji marekebisho.

Wanakwambia tumia dharau zao kujifunza zaidi ulipokosea...pia hawa nao nawashukuru kwani walinipa chachu ya kuendelea kupambana.

Na lingine la mwisho, nimempata mzee mwenzangu, na Mungu akijalia kheri mwezi wa 6 nafunga ndoa takatifu ya kikristo.

Na nilishamueleza maisha niliyopitia huko nyuma, hivo sitaki kukumbushwa.

Ila kikubwa ninachowaambia wanawake wenzangu MSIKATE TAMAA, Jf wapo watu wengi sana sana sana wenye mioyo ya huruma na upendo wa kusaidia wengine ila tu, huwezi kuwaona kwa macho mpaka upate shida.

Nimepata kazi
Nimepata mume
Na nyumba yangu inakamilishwa.

WAKATI WA MUNGU, NI WAKATI SAHIHI.
NITALISIFU JINA LAKE MILELE.


MHUBIRI 3:1
View attachment 3218096View attachment 3218095
 
Back
Top Bottom