Uchaguzi 2020 Misururu ya Wadhamini wa Tundu Lissu Tarime haijapata kutokea, huyu mtu ana nini lakini?

Tume isingekuwa ya ccm huu uchaguzi ungeiletea Tanzania heshima kubwa sana lkn kwa hii tume yao, hali ya baadaye ya nchi hii itakuwa ya hovyo haijapata kuonekana.
 
Huo ndio ukweli.
 
Jipe moyo sema Magufuli bila policcm na vile vyombo vingine hata kura ya mkewe hawezi pata.
 
Na ndipo alipofeli huyu jamaa wa awamu ya tano. Bado haamini anachokiona akifikiri jinsi alivyo tumia nguvu nyeusi( devil forces) kukandamiza upinzani anashindwa kuelewa hawa wapinzani wana roho gani. He will die in his guiltness.
 

Dogo una uhakika, lowasa Alishindwa?

Unajua Mke wa raisi mstaafu alimchana jiwe alipo zuia mzigo ya NGO yake pale bandarini akamwambia wewe hukushinda tulikubeba tu. Leo unakuwa jeuri,

Kilichoendelea ni #$@&?::&+*/,,timbwili tukashtukia anateuliwa kuwa mbunge
 
Nakuona wakala wa shetani ukifanya kazi yako bila mafanikio.
 
Ukimwaga mboga nasi tunamwaga ugali.
 
Kumbe yule Mama ni jasili namna hii.
 
Uzi huu umedhibitisha kuwa nyoka wa kijani hapendwi kabisa na wale watetezi wake wachache hadi wanaona aibu kulitetea hilo joka.

Hongereni sana watanzania wazareeedoo kutoka usingizini kwa kulikataa joka hilo la kijana... Ccm...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…