Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka wewe ni mwakilishi wa wapumbavu hapa JFHuo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Kutukana bila sababu ni kujifupishia maisha..relux broHuo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Usibishe hebu jaribu uone kama itakwenda. CCM imebanwa mbavu,kila mbinu ovu wanazopanga zinavuja ndiyo uelewe kuwa hata huko jikoni meko hatakiwiHuo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Magufuli Pathological-mentally and physical diseaseSasa mtu kakwanbia jaribu na ww sio unamtukana ndugu. Yeye kashafanya ndo imetokea ivyo.
By the way nabii isaya kwa heshima na taadhima nakuomba tukampigie kura za ndio Tundu Lisu 28/10/2020.
Ni mtu mkweli ambye uongo kwake mwiko sio Kama mwenyekiti wetu wa CCM mwongo afu hanaga kumbukumbu.
August katuambia kamfukuza gambo sababu ya matumizi mabaya ya ofisi nikazidi kumkubali kwa kuleta heshima kazini. lakini Jana kasema hakumfukuza. Kanivunja moyo sana
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Samahan ndugu !! Ivi kidato cha Nne ulipata daraja gan ?Huo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Sasa kidato cha nne imeingiajee hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utamuuliza na mockSamahan ndugu !! Ivi kidato cha Nne ulipata daraja gan ?
Wamesharuhusu saivi zinaendaWadau nini kimetokea?
Ukijaribu tuma ujumbe mfupi wenye maneno Tundu Lissu au John Magufuli hauendi ila jumbe nyingine zinaenda....
Jaribu kwa Airtel, Vodacom
Wamesh
Mungu anaenda kutimiza kusudio lake kuu mwaka huu mwaka huu. Hila zote za CCM zinafeli vibaya na Tundu Antiphas Lissu anaenda kushinda kwa kiwango cha juu sana uchaguzi wa mwaka huu.Wadau nini kimetokea?
Ukijaribu tuma ujumbe mfupi wenye maneno Tundu Lissu au John Magufuli hauendi ila jumbe nyingine zinaenda....
Jaribu kwa Airtel, Vodacom
View attachment 1610197
Kama wamezuia kote Haina shida
Nimejaribu Kutuma SMS kwenda Kwa wife wangu na nimeona Hali halisi jinsi magufuli alivyokuwa mwogaDon't be naive, uko na simu mkononi, jaribu uone kama hiyo sms itaenda, kisha ndio uje uongee huu upuuzi hapa.
Huo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.