Mitandao ya kijamii siku hizi imekuwa chanzo kikubwa cha stress na msongo wa mawazo kwa vijana


Ha ha ha, ulivunja sana siku ile. Nadhani ndiyo mwanzo wa watu kupunguza kupost post vitu baada ya wewe kupiga gape kubwa vile.

Kuna kipindi nilikuwa so obsessed na kuangalia Sneaker Rooms za Ma-Star, kina Dj Khaled, Chris Brown, Rick Ross na wengine, kuna mchezaji wa Houston P.J Tucker alinifunikia balaa, sasa nilivyoona kwako ile ya perfume nikaona kabisa inawezekana, siyo mpaka uwe star kuwa na vitu vya namna ile.

Nimeshaanza taratibu kujaza viatu, ingawa mchina amejaa sana, ila nikibahatisha orijino naweka sehemu line yake.

Ulitisha sana mkuu.
 
Mambo ya kawaida tu. Kipe roho kitu inataka, lakini angalia usiue bendi.

Kizuri zaidi ni roho ya kitajiri, hizi mali mafarao walizikwa nazo halafu zikawa sababu za wahuni kufukua makaburi yao.

Tutaziacha tu.

Hivyo tujikite kuishi vizuri na kutengenezea wengine njia kwa nia safi.
 

Kizuri ni roho ya kitajiri.

...tujikite kuishi vizuri na kutengenezea wengine njia kwa nia safi.


Hizi sentensi mbili zimenibariki, thank you man.
 
Hahahahhaaa...
 
Upo sahihi sana mkuu, japo maigizo pia ni mengi sana
 
Itume na humu tuoshe macho kidogo ama tupe link mkuu
 
Kila mtu anakipaumbele chake
 
Kweli kabisa, kuna kipindi niliacha kuingia mitandaoni baada ya kuona kuna vitu vinaniumiza sana,
Mitandao pamoja na uzuri wake lakini imekuja kupunguza muktadha wa kupata rafiki, siku hizi unabofya tuu tayari ushapata rafiki
 
Kuna ukweli kwa mbaaali.
 
Kweli kabisa
 
Yes ni kweli psychology inasema hivyo.
 
Umenena vyema sana mkuu
 
Nakazia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…