Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Ndio maana hukua.Watu humu ndani ni wapumbavu wengi Sana, Serikali inapitia upya tozo na vifurushi Ili kupunguza gharama tofauti na ambavyo walipitisha awali ila majitu Kazi kupayuka,kutukana...
Ana chambuka chambuka bossMnamsingizia msoga bure, huyu wakudemka ana matatizo sana
Na zawadi ya Mercedes Benz saloon la Mzee Ruksa hela uliitoa wewe? Najua kichwani we ni mtupu ngoja nikutengulie kitendawili! Majizi aliyokuwa ameyazibia mbinu JPM sasa yamepata access kupitia kwa SSH, nawahakikishia watanzania hii Kasi ya huyu mama ikiendelea hivi dawa hospitali zitakwisha itabaki chanjo ya Covid tu kutoka kwa BidenDikteta kakomba hazina yote ya Nchi,mama Hana jinsi
Bora Mama aachane na washauri wake na arudi kwa Mumewe achukuwe ushauri wa Mr Hifadh na mtaona Nchi itakua Safi Kama kipindi Cha Mzee Rukhusa!!Ila kama huyu sidhani kama ana elements za kuwa sadist. Me nahisi watu wanaomzunguka ni vilaza na pia yeye hana maamuzi sababu it takes more than kuwa mwanasiasa wa chama kuwa raisi. Kuna Extra brain inahitajika katika kuwazua.
Sasa unataka nambia mtu anakosaje maono ya impact ya kupandisha kodi za mafuta, na huduma za mawasiliano in the long run?!
Dikteta alifilisi Nchi, mama amekuta hazina nyeupe, we jinga huna ujualo kaa kimiyaNa zawadi ya Mercedes Benz saloon la Mzee Ruksa hela uliitoa wewe? Najua kichwani we ni mtupu ngoja nikutengulie kitendawili! Majizi aliyokuwa ameyazibia mbinu JPM sasa yamepata access kupitia kwa SSH, nawahakikishia watanzania hii Kasi ya huyu mama ikiendelea hivi dawa hospitali zitakisa itabaki chanjo ya Covid tu kutoka kwa Biden
HalotelMtandao gani
Ndo mshukuru mngelia mara mbili mbili, upumbavu kwa watu wa nchi hii umezidiNdio maana hukua.
Nadhani kampuni zinamake loss kwa sasa.....Kwa hii serikali inayoongozwa na CCM tena mwanamke?
Nimeangalia season nyingi sana ya mabadiliko ya vifurushi tangu kipindi kile natumia free internet ya Airtel kuanzia saa 6 usiku mpaka saa 6 asubuhi.
Usitegemee unafuu wa vifurushi kwa sasa. Nilikuwa natumia sana Tigo lkn tangia mwaka juzi nimeiweka kwenye droo.
Maybe in our dreams...Maybe wanatupunguzia Bei tupumue kidogo.