Mitano tena: Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Ruvuma

Mitano tena: Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Ruvuma

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma

Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.

Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.

Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
IMG-20241002-WA0029(1).jpg
 
Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma

Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.

Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma. Kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.

Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Ngoja akuone Mchengerwa
 
Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma

Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.

Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma. Kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
View attachment 3114127
Tunamshukuru mama kwa kutuletea zahanati hapa Ruvuma.
 
Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma

Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.

Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma. Kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.

Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Haya ndiyo maendeleo halisi ya CCM
 
Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma

Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.

Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma. Kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.

Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Kura kwa ulefu wa kamba
 
Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma

Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.

Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma. Kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.

Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Naona kuna boma nyuma ya hilo jengo, labda ungeelezea vizuri na hilo boma kuliko kuleta uchochezi.

By the zahanati kujenga sio lazima rais bali halmashauri ya wilaya haikosi 50tsh mlns wakajenga.
 
Back
Top Bottom