Mitano tena: Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Ruvuma

Mitano tena: Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Ruvuma

Fedha gani zilizopigwa kiongozi? Jitahidi kuongea kwa ushahidi kwa kusema kiasi, mradi fedha zilizotolewa n.k. Lakini unapokuja na picha moja unatia mashaka zahanati ni nyingi kiongozi au maana yako zote ziko vizuri kasoro hii moja? Umejaribu kuuliza mipango iliyopo juu ya zahanati hii au umekurupuka tu kuanzisha mada? Kuna kazi nyingi za kufanya Mkuu, achana na uchochezi!
Mkuu picha husema zaidi ya maana elfu moja!! Ili kujibu hoja weka picha ya zahanati mpya ya eneo hilo. Mambo ya mipango achana nayo!!!
 
Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma

Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.

Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.

Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Mama alisema kuwa hizi ni picha za zamani!!!
 
Huku nyie mkichangisha maskini kumnunulia tajiri Lissu gari la kifahari. CHADEMA is the worst political party in Tz
Huku mama akichangiwa zaidi ya billion kwa ajili ya kuchukua fomu ya urais ambayo haizid hata million tano

Miaka 60+ ya utawala wa ccm bado unawalaumu chadema tunasafari ndefu sana kifikra
 
Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma

Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.

Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.

Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Figa hahahahah
Naona unaingia kwenye rada za Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable chiembe

Hao jamaa ni machawa wasio na tiba
 
Mkuu picha husema zaidi ya maana elfu moja!! Ili kujibu hoja weka picha ya zahanati mpya ya eneo hilo. Mambo ya mipango achana nayo!!!
Wewe ndio upo eneo hilo, ni lazima kulinganisha unapoongea la sivyo unakua mzushi. Una maana gani kusrma tuachane na mipango, hutaki iwepo? Kama ipo kwenye bajeti ya ujenzi 2024/25 iondolewe?
 
Napafahamu ndiyo maana hata Mkapa hakukulia kusini muda mwingi alikuwa kaskazini kwa watu wenye akili kubwa
Acha propaganda za kutenga watu kikanda. Huko kaskazini walichanga wakajenga wenyewe. Kusini ni akili ndogo? Tuna uhuru wa kuandika lakini tafakari kabla ya kupost, fahamu kwamba humu wanasoma Watanzania wote ambao kwa namna moja ama nyingine wana mchango wao katika maendeleo ya Taifa kwa ujumla.
 
Acha propaganda za kutenga watu kikanda. Huko kaskazini walichanga wakajenga wenyewe. Kusini ni akili ndogo? Tuna uhuru wa kuandika lakini tafakari kabla ya kupost, fahamu kwamba humu wanasoma Watanzania wote ambao kwa namna moja ama nyingine wana mchango wao katika maendeleo ya Taifa kwa ujumla.
Wangekuwa na akili wasingalagala kumtukuza mtu badala ya MUNGU wao na huku ni kodi zao, kuna maendeleo gani kusini mpk wafanye ule ujinga waliofanya juzi? mvumilia tuwaambie ukweli mbadilike, muda wa kusifia kijinga haupo.
 
Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma

Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.

Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.

Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Ukipiga picha randomly zahanati angalau 10 za Jimbo hilo, ni ngapi zitakuwa kwenye Hali kama hiyo mkuu? Kuna kitu nimewaza!
 
Back
Top Bottom