figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Ngoja akuone MchengerwaMuonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma. Kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Tunamshukuru mama kwa kutuletea zahanati hapa Ruvuma.Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma. Kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
View attachment 3114127
Mbona Matiri ni sehemu poa wamatengo ni wakarimuBora kuishi Gaza kuliko huko
Haya ndiyo maendeleo halisi ya CCMMuonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma. Kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
CCM ni laana ya taifaNgoja akuone Mchengerwa
Kura kwa ulefu wa kambaMuonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma. Kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Naona kuna boma nyuma ya hilo jengo, labda ungeelezea vizuri na hilo boma kuliko kuleta uchochezi.Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma. Kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Kilabu Chako ni kizuri kuliko hii dispensary 🐼Bilioni 34 zimetengwa kujenga makumbusho ya ma-Rais, hopeless kabisa
Huku nyie mkichangisha maskini kumnunulia tajiri Lissu gari la kifahari. CHADEMA is the worst political party in TzBilioni 34 zimetengwa kujenga makumbusho ya ma-Rais, hopeless kabisa
Peleka ujinga wako hukoKilabu Chako ni kizuri kuliko hii dispensary 🐼
UWT ndiyo hamna akili Lisu ni kiongozi wa chama na alipigwa risasi na kwa maelekezo ya viongozi wa CCM wakiongozwa na Makonda kwa mujibu wa Lisu mwenyeweHuku nyie mkichangisha maskini kumnunulia tajiri Lissu gari la kifahari. CHADEMA is the worst political party in Tz