Mitano tena: Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Ruvuma

UWT ndiyo hamna akili Lisu ni kiongozi wa chama na alipigwa risasi na kwa maelekezo ya viongozi wa CCM wakiongozwa na Makonda kwa mujibu wa Lisu mwenyewe
Hao UWT unaowatukana daily ndo huwa wanapiga kura kwa wingi kuiadhibu CHADEMA. Ukiweza kutowadharau wanawake hata hiyo tabia yako utaweza kuacha.
 
Luka mshamba angalia hayo mafanikio ya mama hapo.
 
Duh,
Ni majuzi tu Jenista Mhagama alikuwa anagalagala chini kushukuru sa100, kumbe ilikuwa uchawa tu?!
Tlaatlaah Lucas Mwashambwa
 
Kweli CCM ni harari!
 
Fedha gani zilizopigwa kiongozi? Jitahidi kuongea kwa ushahidi kwa kusema kiasi, mradi fedha zilizotolewa n.k. Lakini unapokuja na picha moja unatia mashaka zahanati ni nyingi kiongozi au maana yako zote ziko vizuri kasoro hii moja? Umejaribu kuuliza mipango iliyopo juu ya zahanati hii au umekurupuka tu kuanzisha mada? Kuna kazi nyingi za kufanya Mkuu, achana na uchochezi!
 
Tupo busy na simba na yanga
 
Naona kuna boma nyuma ya hilo jengo, labda ungeelezea vizuri na hilo boma kuliko kuleta uchochezi.

By the zahanati kujenga sio lazima rais bali halmashauri ya wilaya haikosi 50tsh mlns wakajenga.
Kiswahili ulijifunzia Ndengisivili au Kaning'ombe?
 
Kwani si juzi tu apa amemaliza ziara ya kikazi mkoani humo hadi wengine wakagalagala kwa kumshukuru, ina maana hakuiona hii hali kweli?
 
Anaumega mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…