MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hao UWT unaowatukana daily ndo huwa wanapiga kura kwa wingi kuiadhibu CHADEMA. Ukiweza kutowadharau wanawake hata hiyo tabia yako utaweza kuacha.UWT ndiyo hamna akili Lisu ni kiongozi wa chama na alipigwa risasi na kwa maelekezo ya viongozi wa CCM wakiongozwa na Makonda kwa mujibu wa Lisu mwenyewe
Eti kama Mapunda,haya majina yetu mnayachezea sana.Sasa kama wabunge wa huko wanazo tu za kuwawezesha kugalagala kama mapunda unategemea wananchi wajengewe jengo hata la milioni 20 kweli?
Luka mshamba angalia hayo mafanikio ya mama hapo.Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Duh,Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
muungwana angepiga picha na muonekano wa jengo jipya ingependeza zaidi gentleman 🐒Duh,
Ni majuzi tu Jenista Mhagama alikuwa anagalagala chini kushukuru sa100, kumbe ilikuwa uchawa tu?!
Tlaatlaah Lucas Mwashambwa
Kasema hakuna, hilo jengo ndo linatumikamuungwana angepiga picha na muonekano wa jengo jipya ingependeza zaidi gentleman 🐒
Mapunda jina la mtuSasa kama wabunge wa huko wanazo tu za kuwawezesha kugalagala kama mapunda unategemea wananchi wajengewe jengo hata la milioni 20 kweli?
Kweli CCM ni harari!Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Astaghifilullah!Shukrani zimekua rahisi kutolewa sana.🤔Tunamshukuru mama kwa kutuletea zahanati hapa Ruvuma.
Hariri.TRA Tanzania where are taking our money? Collections increased but still we have this kind of dispensary?
Kwenye 2,3 CCM Imepoka Nafasi
Fedha gani zilizopigwa kiongozi? Jitahidi kuongea kwa ushahidi kwa kusema kiasi, mradi fedha zilizotolewa n.k. Lakini unapokuja na picha moja unatia mashaka zahanati ni nyingi kiongozi au maana yako zote ziko vizuri kasoro hii moja? Umejaribu kuuliza mipango iliyopo juu ya zahanati hii au umekurupuka tu kuanzisha mada? Kuna kazi nyingi za kufanya Mkuu, achana na uchochezi!Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Tupo busy na simba na yangaMuonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Kiswahili ulijifunzia Ndengisivili au Kaning'ombe?Naona kuna boma nyuma ya hilo jengo, labda ungeelezea vizuri na hilo boma kuliko kuleta uchochezi.
By the zahanati kujenga sio lazima rais bali halmashauri ya wilaya haikosi 50tsh mlns wakajenga.
Kwani si juzi tu apa amemaliza ziara ya kikazi mkoani humo hadi wengine wakagalagala kwa kumshukuru, ina maana hakuiona hii hali kweli?Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Anaumega mwingiMuonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127