ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ni kuwa makini sana na uzushi wa Machadema.Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Mkuu zingekuwepo za kujibia hii hoja zingekuwa zimewekwa!! Hazipo na hiyo ndio hali halisi.Ukipiga picha randomly zahanati angalau 10 za Jimbo hilo, ni ngapi zitakuwa kwenye Hali kama hiyo mkuu? Kuna kitu nimewaza!
Kwani 'muonekano' wewe unaitafsiri kama kitenzi au nomino?Upo wapi huo muonekano
muungwana angepiga picha na jengo jipya la sasa pembeni ya hilo jengo la zamani kwa faida ya wadau ingependeza zaidi ndrugu zango right?πFiga hahahahah
Naona unaingia kwenye rada za Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable chiembe
Hao jamaa ni machawa wasio na tiba
Umeona udongo huoBora kuishi Gaza kuliko huko
Hawawezi mpitisha huu mtaaKwani si juzi tu apa amemaliza ziara ya kikazi mkoani humo hadi wengine wakagalagala kwa kumshukuru, ina maana hakuiona hii hali kweli?
Maisha magumu Sana hayaaaUmeona udongo huo
Ukipangiwa kazi siku ya kuriport ndio siku ya kuacha kaziMaisha magumu Sana hayaaa
Halafu mbunge wao na waziri wa afya anagaragara kwenye mavumbi kama mlevi wa mataputapu kusifia ujingaMuonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Halafu mbunge wao na waziri wa afya anagaragara kwenye mavumbi kama mlevi wa mataputapu kusifia ujingaMuonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127
Lipo kwani hapo?muungwana angepiga picha na jengo jipya la sasa pembeni ya hilo jengo la zamani kwa faida ya wadau ingependeza zaidi ndrugu zango right?π
muulize huyo mpotoshaji, jengo liliokua nyuma yake mbona hakulipiga picha?Lipo kwani hapo?
Tuletee wewe picha ya jengo jipya jirani na hiloππ
Mazingira sio rafikiUkipangiwa kazi siku ya kuriport ndio siku ya kuacha kazi
Wallah naacha kaziMazingira sio rafiki
Wewe mwenye ukweli wote, weka picha basi ili tumzodoe figganigga πmuulize huyo mpotoshaji, jengo liliokua nyuma yake mbona hakulipiga picha?
au anadhani ni kituo kipya cha SGR na hakuna reli?π
Binafsi sina haja ya kupotosha ili kuhurumiwa na wadau kama huyo muungwana, gentleman!Wewe mwenye ukweli wote, weka picha basi ili tumzodoe figganigga π
Duuh Ina maana hizi ajiraza afya za juzi watu walivyosokotwa vile ndio unaishia kutupwa hapo ukafanye kazi kweli? CCM muwe na huruma aisee.Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma
Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza.
Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama.
Fedha za miradi ya afya ya IMF wajanja wamepiga
View attachment 3114127