Siitaji human needs tena , Kati ya Raha unayoweza kupata ni kutokuwa na human needs, mungu wako arakutesa na human needs kwenye mbingu yake , Yani anasema dudu litadinda milele na likuwa refu mpaka hulioni 😂😂😂😂😂iko Wapi hiyo?
lete andiko,
wacha kuongea ndoto za alinacha.
Wewe Njoo tu kwenye Uislamu ,Hatunaga makubwa sisi.
Utaoa wake wanne,
Na Ukifa Utapewa Mabibi wapeponi 70,
Utachaaza bakora bila kuchoka,na utapewa nguvu za ziada za kiume ili ufaidi zaid na zaidi.
Utakula vyakula vya asili vyenye ladha.
Hakuna kuumwa wala kufa huko.
Wala hakuna Shida ya aina yeyote.
Mjinga ni wewe ,kwa sababu Wana wa israeli waliletewa manabii wengi mno ,lakani wakawa wakaidi na wengine wakawaua.Muhammad mjinga Sana eti mpaka nyama kuoza ni dhambi za waisrael
Mkuu kwa heshima yako ningeomba unieleweshe japo kidogo juu ya uongo uliopo katika hio ayah mana sisi wengine ni wazito wa kufikiria nje ya maneno yalioandikwaHapa vijana wa muhammad na allah wanapita kimyakimya, mungu wao kapiga bonge moja la uongo.
Allah kaweka mtu mwingine anayefanana exactly na issa halafu akawahukumu hao walioamini kwamba yule ni issa. Miaka 600 baadae akarudi na kusema udanganyifu aliofanya enzi hizo.Mkuu kwa heshima yako ningeomba unieleweshe japo kidogo juu ya uongo uliopo katika hio ayah mana sisi wengine ni wazito wa kufikiria nje ya maneno yalioandikwa
Sasa kati yenu na Yesu nani mjuzi zaidi mpaka yeye awe hajasema kuwa nu mungu mje nyinyi kusema kuwa ni mungu...?Nyie wafuasi wa allah hilo suala la uungu wa Yesu Kristo tumeshawaandikia sana ila mmegoma kuelewa.
Najua ni vigumu sana kuelewa kwasababu nyie ni watu wa mwilini na mnaamini mkifa basi hadi ahera mtakuwa mnafanya ngono.
No nipapo kwa papo, Hakuna kuchelewa.Kwahiyo ukitubu leo unapewa ofa ya kuishi kwenye dhambi kwa mwaka mzima
Nitajie watu wa tano tu walio ona kisha wakaandika hilo tukio.Allah kadanganya kwa Kuweka Isa bandia na watu waliona , inamaana walioona na kuandika walicho ona ni wakweli kabisa
Yesu amesema mara nyingi sana kwamba yeye ni Mungu ila tukiwapa mistari mnarukaruka. Halafu tatizo lenu kubwa mnataka kuitafsiri biblia kama mnavyotafsiri quran. Haiwezekani. Biblia ni kitabu cha kiroho na quran ni kitabu cha mwilini.Sasa kati yenu na Yesu nani mjuzi zaidi mpaka yeye awe hajasema kuwa nu mungu mje nyinyi kusema kuwa ni mungu...?
Sasa akili mmepewa bure zitumieni vizuri.
Kwahiyo wewe ulipotubu jana basi sasa hivi unajiachia mpaka mwakani tarehe kama hizi?No nipapo kwa papo, Hakuna kuchelewa.
Ukimuamini Yesu ukaacha kumuamini aliye mtuma ni kazi bure.
Yesu Katumwa na kapewa Ujumbe.
Mwamini Yesu,Mwamini Aliyemtuma, na Fuata mafundisho utafika karibu na Uislamu.
Kwa uelewa wako alichokifanya Allah kumuepusha Yesu/Issa na kudhalilika ilkua sawa au si sawa?Allah kaweka mtu mwingine anayefanana exactly na issa halafu akawahukumu hao walioamini kwamba yule ni issa. Miaka 600 baadae akarudi na kusema udanganyifu aliofanya enzi hiz
Issa ni mungu naye, lete aya. Tukio hilo la kufanya replacement ya mtu linatofauti gani na substitutionary sacrifice ya Yesu Kristo msalabani?Kwa uelewa wako alichokifanya Allah kumuepusha Yesu/Issa na kudhalilika ilkua sawa au si sawa?
Kwa upande wangu naona lilikua jambo jema mungu kumsaidia mungu mwenzie asidhalilike msalabani.
Issa ni mungu naye, lete aya. Tukio hilo la kufanya replacement ya mtu linatofauti gani na substitutionary sacrifice ya Yesu Kristo msalabani
Mtu atundikwe kwa ajili ya dhambi zangu. Haiji akilini kabisa 🤔Issa ni mungu naye, lete aya. Tukio hilo la kufanya replacement ya mtu linatofauti gani na substitutionary sacrifice ya Yesu Kristo msalabani?
Kila mtu atachukua zigo lake mwenyewe mzee babaMtu atundikwe kwa ajili ya dhambi zangu. Haiji akilini kabisa 🤔
Tazama, mimi ni mwanadamu, nakosea kila siku,Kwahiyo wewe ulipotubu jana basi sasa hivi unajiachia mpaka mwakani tarehe kama hizi?
Yesu Kristo ni Mungu aliyehai.
Weka andiko hapa ambapo Yesu anasema yeye ni Mungu.Yesu amesema mara nyingi sana kwamba yeye ni Mungu ila tukiwapa mistari mnarukaruka. Halafu tatizo lenu kubwa mnataka kuitafsiri biblia kama mnavyotafsiri quran. Haiwezekani. Biblia ni kitabu cha kiroho na quran ni kitabu cha mwilini.
Moja katika sifa za Mungu ni Uhai usio katika.Yesu Kristo ni Mungu aliyehai.
Unataka aya gan sasa huku hujajibu swali nlikuulizaIssa ni mungu naye, lete aya. Tukio hilo la kufanya replacement ya mtu linatofauti gani na substitutionary sacrifice ya Yesu Kristo msalabani?