Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Siitaji human needs tena , Kati ya Raha unayoweza kupata ni kutokuwa na human needs, mungu wako arakutesa na human needs kwenye mbingu yake , Yani anasema dudu litadinda milele na likuwa refu mpaka hulioni 😂😂😂😂😂
 
Muhammad mjinga Sana eti mpaka nyama kuoza ni dhambi za waisrael
Mjinga ni wewe ,kwa sababu Wana wa israeli waliletewa manabii wengi mno ,lakani wakawa wakaidi na wengine wakawaua.
Sasa wewe unasema ninikuhusu kosa hili la kuu mitume?
Hii ni sifa mbaya kwa waisraeli waovu tokea zama hizo, japo sio wote ,lakini wengi wao ni wakorofi, wewe unawatetea nini ?
Au umefurahia kuuliwa kwa Yesu?
Umeingizwa kingi mkuu.

Unaenda Kuzini nini na wanawake wachafu ndio maana unazingatia Hadithi hii?
Hi ndio hivyo
 
Hapa vijana wa muhammad na allah wanapita kimyakimya, mungu wao kapiga bonge moja la uongo.
Mkuu kwa heshima yako ningeomba unieleweshe japo kidogo juu ya uongo uliopo katika hio ayah mana sisi wengine ni wazito wa kufikiria nje ya maneno yalioandikwa
 
Mkuu kwa heshima yako ningeomba unieleweshe japo kidogo juu ya uongo uliopo katika hio ayah mana sisi wengine ni wazito wa kufikiria nje ya maneno yalioandikwa
Allah kaweka mtu mwingine anayefanana exactly na issa halafu akawahukumu hao walioamini kwamba yule ni issa. Miaka 600 baadae akarudi na kusema udanganyifu aliofanya enzi hizo.
 
Nyie wafuasi wa allah hilo suala la uungu wa Yesu Kristo tumeshawaandikia sana ila mmegoma kuelewa.

Najua ni vigumu sana kuelewa kwasababu nyie ni watu wa mwilini na mnaamini mkifa basi hadi ahera mtakuwa mnafanya ngono.
Sasa kati yenu na Yesu nani mjuzi zaidi mpaka yeye awe hajasema kuwa nu mungu mje nyinyi kusema kuwa ni mungu...?

Sasa akili mmepewa bure zitumieni vizuri.
 
Kwahiyo ukitubu leo unapewa ofa ya kuishi kwenye dhambi kwa mwaka mzima
No nipapo kwa papo, Hakuna kuchelewa.
Ukimuamini Yesu ukaacha kumuamini aliye mtuma ni kazi bure.
Yesu Katumwa na kapewa Ujumbe.
Mwamini Yesu,Mwamini Aliyemtuma, na Fuata mafundisho utafika karibu na Uislamu.
 
Allah kadanganya kwa Kuweka Isa bandia na watu waliona , inamaana walioona na kuandika walicho ona ni wakweli kabisa
Nitajie watu wa tano tu walio ona kisha wakaandika hilo tukio.
 
Sasa kati yenu na Yesu nani mjuzi zaidi mpaka yeye awe hajasema kuwa nu mungu mje nyinyi kusema kuwa ni mungu...?

Sasa akili mmepewa bure zitumieni vizuri.
Yesu amesema mara nyingi sana kwamba yeye ni Mungu ila tukiwapa mistari mnarukaruka. Halafu tatizo lenu kubwa mnataka kuitafsiri biblia kama mnavyotafsiri quran. Haiwezekani. Biblia ni kitabu cha kiroho na quran ni kitabu cha mwilini.
 
No nipapo kwa papo, Hakuna kuchelewa.
Ukimuamini Yesu ukaacha kumuamini aliye mtuma ni kazi bure.
Yesu Katumwa na kapewa Ujumbe.
Mwamini Yesu,Mwamini Aliyemtuma, na Fuata mafundisho utafika karibu na Uislamu.
Kwahiyo wewe ulipotubu jana basi sasa hivi unajiachia mpaka mwakani tarehe kama hizi?

Yesu Kristo ni Mungu aliyehai.
 
Allah kaweka mtu mwingine anayefanana exactly na issa halafu akawahukumu hao walioamini kwamba yule ni issa. Miaka 600 baadae akarudi na kusema udanganyifu aliofanya enzi hiz
Kwa uelewa wako alichokifanya Allah kumuepusha Yesu/Issa na kudhalilika ilkua sawa au si sawa?
Kwa upande wangu naona lilikua jambo jema mungu kumsaidia mungu mwenzie asidhalilike msalabani.
 
Reactions: ibn
Kwa uelewa wako alichokifanya Allah kumuepusha Yesu/Issa na kudhalilika ilkua sawa au si sawa?
Kwa upande wangu naona lilikua jambo jema mungu kumsaidia mungu mwenzie asidhalilike msalabani.
Issa ni mungu naye, lete aya. Tukio hilo la kufanya replacement ya mtu linatofauti gani na substitutionary sacrifice ya Yesu Kristo msalabani?
 
Issa ni mungu naye, lete aya. Tukio hilo la kufanya replacement ya mtu linatofauti gani na substitutionary sacrifice ya Yesu Kristo msalabani

Issa ni mungu naye, lete aya. Tukio hilo la kufanya replacement ya mtu linatofauti gani na substitutionary sacrifice ya Yesu Kristo msalabani?
Mtu atundikwe kwa ajili ya dhambi zangu. Haiji akilini kabisa 🤔
 
Kwahiyo wewe ulipotubu jana basi sasa hivi unajiachia mpaka mwakani tarehe kama hizi?

Yesu Kristo ni Mungu aliyehai.
Tazama, mimi ni mwanadamu, nakosea kila siku,
lakini nahitaji njia ya kupunguza uzito wa mzigo wangu wa madhambi,Ndiyo maana Munguakaweka Offa za kila aina,
Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Kwenda Huijja,
Kufunga siku ya Arafa,
Kufunga siku ya Juma tatu na Alhamis,
Kufunga kila mwezi siku tatu za katikti ya mwezi Mwandamo,
Kuchonja siku ya Eidi ya kuchinja.
na nyingine nyingi za kumfanya Binadamu aweze kufikia malengo.
Kubwa zaidi ukifanya Dhambi unalipwa moja kwa moja.
Ukifanya wema unalipwa moja kwa Kumi hadi mia saba, inategemea na usafi wa nia yako
Karibu katika Uislamu Kusilimu ni rahisi tuu.

Na huku Yesu anaheshimiwa na manabii wote wanaheshimiwa kama sharti la Imani
 
Yesu amesema mara nyingi sana kwamba yeye ni Mungu ila tukiwapa mistari mnarukaruka. Halafu tatizo lenu kubwa mnataka kuitafsiri biblia kama mnavyotafsiri quran. Haiwezekani. Biblia ni kitabu cha kiroho na quran ni kitabu cha mwilini.
Weka andiko hapa ambapo Yesu anasema yeye ni Mungu.

Hizi ni falsafa za wasomi wenu lakini hakuna andiko sahihi linalosema Yesu ni Mungu.
 
Yesu Kristo ni Mungu aliyehai.
Moja katika sifa za Mungu ni Uhai usio katika.
pili ni Nguvu zisizo shindwa.
Tatu ni Udhaifu na Kubadilika badilika Maumbo yake.
Afanye hivyo kwa haja gani?
Anamuogopa nani?
Au anshida gani na viumbe?
Hahitaji msaada kwa yeyote.
''Eloi eloi lama sabaka tani'' yatosha kuonesha udhaifu wa aliyetundikwa Msalabani
 
Mimi nauliza kwako Championship.
Andiko hi Mathayo 24:5
Yesu Alisema,angalieni,mtu asiwadanganye.Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu,wakisema,mimi ni kristo;nao watadanganya wengi.(mt.24:4)Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo,nao watatoa ishara kubwa na maajabu;wapate kuwapoteza,kama yamkini,hata walio wateule.

Unabii huu umeshatimia?
Vipi kuhusu hawa Manabii walioko siku hozi akina TB Joshua, Lusekelo na wengine wengi duniani
na wazamani akina Paulo ni sawa?

Marko 13:5Mark 13:5
Yesu akaanza kuwaambia, Jihadharini, mtu asiwadanganye.
 
Yesu alijua kuwa Hawa jamaa watadanganywa na watakubali Uongo huo.
Kusemu Yesu ni Mungu ni Uongo na ni Madanganyo.
Kusema Kafa kwa ajili ya dhambi ni Madanganyo.
 
Aya hizindizo zinazoonesha kuwa PAULO alijipenyeza kujiita Mtume wa Mtaifa na ndie chanzo cha Imani Potofu ya UTATU.
Pia Yesu alikuja Jerusalem,
Lakini Ukiristo Uko ROME mji wa mtawala wa zama zile ,uliiteka dini na kuigeuza kuwa yakipagani, zaidi

Marko 13:20
Na kama Bwana asingalizikatiza siku hizo, asingeokoka mtu ye yote; lakini kwa ajili ya wateule aliowateua amezikatiza siku hizo.
Marko 13:21
Na wakati huo mtu akiwaambia, Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule, msisadiki;
Marko 13:22
kwa maana wataondoka Makristo wa uongo, na manabii wa uongo, watatoa ishara na maajabu, wapate kuwadanganya, kama yamkini, hata hao wateule.
Marko 13:23
Bali ninyi jihadharini; nimekwisha kuwaonya yote mbele.

Tahadhari hiyi ni kwa wakiristo.
 
Issa ni mungu naye, lete aya. Tukio hilo la kufanya replacement ya mtu linatofauti gani na substitutionary sacrifice ya Yesu Kristo msalabani?
Unataka aya gan sasa huku hujajibu swali nlikuuliza
Mungu kumsaidia mungu mwenzie asisulubiwe msalaban na kudhalilika n jambo baya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…