Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Uislamu upi huo Shia ,au ahamadiya? Au sunni
Huo labda unaujua mwenyewe,sisi tunaamini Mungu mmoja pamoja na Mitume na vitabu alivyowapa,inamana kila walichokifanya mitume walikifanya kwa amri ya Mungu akiwemo Yesu au Issa na kitabu alichopewa cha Enjili
 
Kwa uelewa wako Mungu anaweza kuwa zaidi ya sehemu moja kwa wakati mmoja ?
Naweza kukukatalia,lakini ninachoamini Mungu ana Maraika wake ambao humraisishia kazi zake au huwasiliana naye,mfano tumewekea malaika wawili kulia na kushoto ambao kazi yao ni kutuandikia mema yetu na mabaya yetu
 
Kwa hyo dini inayo support homosexuality ndio ya haki bora hata wapagani kuliko hawa wanaojiona washaenda peponi.
 
Kwa hyo dini inayo support homosexuality ndio ya haki bora hata wapagani kuliko hawa wanaojiona washaenda peponi.
Unajua adhabu yake,kwanza ukifa wewe mfirija wa wanaume wenzako au mfirwaji maiti yako inahamishwa kimiujiza unapelekwa kwenye makaburi ya wenzako Sodoma na Gomola,ili mje mfufuliwe pamoja
 
Naweza kukukatalia,lakini ninachoamini Mungu ana Maraika wake ambao humraisishia kazi zake au huwasiliana naye,mfano tumewekea malaika wawili kulia na kushoto ambao kazi yao ni kutuandikia mema yetu na mabaya yetu

Tuache unachoamini.

Kwa mujibu wa maandiko wewe hapo ulipo Mungu yupo ?
 
Huo labda unaujua mwenyewe,sisi tunaamini Mungu mmoja pamoja na Mitume na vitabu alivyowapa,inamana kila walichokifanya mitume walikifanya kwa amri ya Mungu akiwemo Yesu au Issa na kitabu alichopewa cha Enjili
Yesu na Isa Ni watu wawili tofauti

Halafu Uislamu gani unauzungumzia ,ninapokaa huku Kuna misikiti hawa washia, hawa wasuni

Naomba nijue Unauzungumzia Uislamu wa Dhehebu gani

Huwez kusema Eti Uislamu,, lazima ufunguke Ni upi SHIA AU SUNNI, AU WASUFI, AU MABOHORA ,AU AHAMADIYA?
 

Attachments

  • FB_IMG_1652986862734.jpg
    FB_IMG_1652986862734.jpg
    23.1 KB · Views: 16
Hapana itakuwa Roman catholic, Orthodox church, sabato, mashahidi wa Yehova n.k
Jibu swali Mzee baba ,kwenye Ukristo tunajua Kuna MADHEHEBU,

Wewe tuambie tuufate uislamu upi ,SHIA AU SUNNI? AU MABOHORA AU WASUFI?
 
Jibu swali Mzee baba ,kwenye Ukristo tunajua Kuna MADHEHEBU,

Wewe tuambie tuufate uislamu upi ,SHIA AU SUNNI? AU MABOHORA AU WASUFI?
Kila dhehebu si lina watu?, fata lolote lile wote ni waislamu hao , madhehebu yasikuchanganye, muhimu wamekiri shahada basi ni waislamu
 
Yesu na Isa Ni watu wawili tofauti

Halafu Uislamu gani unauzungumzia ,ninapokaa huku Kuna misikiti hawa washia, hawa wasuni

Naomba nijue Unauzungumzia Uislamu wa Dhehebu gani

Huwez kusema Eti Uislamu,, lazima ufunguke Ni upi SHIA AU SUNNI, AU WASUFI, AU MABOHORA ,AU AHAMADIYA?
Hii kawaida mbona hata wasabato wanawaita Roman catholic kuwa ni mawakala wa shetani , wala haifanyi Roman catholic kuacha Ukristo wao, lete hoja za maana, muhimu ni kukiri shahada basi hayo mengine mbwembwe, unayo hoja?
 
Hakuna tena original,hao waliopewa kitabu waliokuwa na Elimu ya dini ndiyo waliopotosha maandishi kwa maslai yao mpaka kufikia kusema Yesu ni Mungu
Mungu akashindwa kulinda maandiko yake mwenyewe.
 
Yaani wewe umtangaze Mungu kufanywa ndafu msalabani halafu unashangaa mambo ya kawaida , hivi nyie mko sawa sawa kweli, umesahau hata Yakobo alibarikiwa na Mungu pamoja kuwa alitumia uongo kupata baraka kutoka kwa baba yake Isiaka
Yakobo alikuwa na haki kwasababu Esau aliapa kwa kiapo kumpatia haki ya mzaliwa wa kwanza.

Alitakiwa kumwambia baba yake kuhusu yale makubaliano. Mungu aliheshimu makubaliano na alimuadhibu Yakobo kwa udanganyifu aliofanya. Aliteseka miaka 20 kule syria.
 
Kwa hyo dini inayo support homosexuality ndio ya haki bora hata wapagani kuliko hawa wanaojiona washaenda peponi.
Kwahiyo waislamu wanasapoti ushoga kwasababu yule sheikh kule arusha amewanajisi watoto 22?

Anayefanya dhambi atahukumiwa yeye binafsi.
 
Yakobo alikuwa na haki kwasababu Esau aliapa kwa kiapo kumpatia haki ya mzaliwa wa kwanza.

Alitakiwa kumwambia baba yake kuhusu yale makubaliano. Mungu aliheshimu makubaliano na alimuadhibu Yakobo kwa udanganyifu aliofanya. Aliteseka miaka 20 kule syria.
1.Kama alikuwa na haki kwanini amdanganye baba yake ?
2. Kwanini Mungu aliendelea kumbariki mtu alietumia uongo kupata baraka kutoka kwa baba yake?
3. Nionyeshe wapi Mungu alikemea kile kutendo cha Yakobo kumdanganya baba yake?
 
Ushauri:

Haya mambo ya kukashifiana dini ningeshauri yaishe tu kwa sababu zifuatazo;
1. Haiwezekani tena kuufuta Uislamu au Ukristo. Mamia ya miaka ya mashindano kati ya dini hizi mbili bila mafanikio ya upande wowote, ni ushahidi tosha. Tuchape kazi katika kuzitafutia familia zetu na wenye shida (sadaka) mahitaji muhimu......hiyo ni ibada nzuri, kwa upande wowote wa imani uliopo, na yenye maana kuliko kutafuta shari na migongano.

2. Ni ukweli kuwa kwa kizazi cha sasa akili za kuweza kuua Uislamu au Ukristo HATUNA! Sana sana tutaishia kutukanana n.k. Vyakula vya chips, mayai tvs n.k vimedororesha pakubwa uwezo wetu wa kufikiri. Kujaribu kutikisa hoja za Qur'an au Biblia kwa kizazi hiki ni kupoteza muda tu......tumeisha; tufuate tu kila mmoja wetu anakotaka kufuata tupite tuwapishe wengine!
Umeongea pumba gani..yani watu wasihoji dini fulani kisa haiwezekani kufutwa..ni wakati wa kuweka mambo hadharani acha dini zohojiwe tujue ipi ni ya kweli ipi niya uongo.

Free will free world.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ukiwa huna uhakika na unachoandika ni BORA KUTOANZISHA UZI....

kwenye Uislam ukisikia anatajwa Mola Mlezi utasikia kwa mfano Allah Subhanah Wataala, akitajwa Mtume utasikia Rehema na Amani ziwe juu yake, wakitajwa mitume wote waliobakia aliwemo mtume wa Allah Issah utakisikia Alayh Salam, wakitajwa maswahaba utasikia Radhiallah Anhu, Waja wema waliotangulia Rahmahullah au waliopo HAI utasikia hafidhallah

Kwa hiyo siyo kweli UNACHOKISEMA KUWA KWENYE UISLAM MTUME ANAOMBEWA MSAMAHA.....

MOLA MLEZI ameweka utaratibu wa kumtukuza YEYE kila anapotajwa au unapotaja jina la Mola Mlezi, kuwatakia salama na amani Waja wema waliotangulia kwa maana waliishi na kumridhisha YEYE na YEYE amewaridhia na wanaombewa mpaka na malaika...


KINYUME CHAKE kwa kila aliyeishi kwa UJABARI NA KUMUASI MOLA MLEZI KAMA FIRAUNI na wote wanaomfuatia basi utasikia yakitamkwa MKASIRIKO YA MOLA MLEZI NA KUWEKWA MBALI NA REHEMA ZAKE baada ya majina yao!!!!

Kwa aliye hai ataombewa UONGOFU ila akifa mwanadamu kati uasi basi hadi Malaika watamwombea Makasiriko ya Mola Mlezi....

HUJAWAHI ONA MTU ANAFARIKI NA WATU WANAFURAHI KUWA WATAPUMZIKA KUTOKANA NA MAUDHI AU DHULMA ZAKE???? Au MWINGINE ANAFARIKI KILA YUALIA KUTOKANA NA WEMA WAKE KWA WATU???

Basi jua vivyo hivyo kwa wanadamu na Mailaka kumwombea aliyefariki au hata aliye HAI...
Hujajibu hoja naona unazungukazunguka tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom