Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mtume Paulo aliyaomba makanisa ya Rumi, Efeso na lile la Korintho yamuombee ili injili iweze kufika mbali zaidi kwa kinywa chake.

Alipomaliza huduma aliaga katika barua kwa Timotheo kwamba ameilinda imani na kwamba anaenda zake kwenye taji aliyowekewa.

Mtume Petro naye alikumbusha kuombea huduma na alipomaliza aliwaambia waumini kwamba wakati umefika kwake kuondoka tena itakuwa kutundikwa juu ya msalaba kichwa kikiwa chini na miguu juu.

Hawa wote wawili walikuwa na furaha na kuondoka duniani kwa uhakika na ushindi. Walikuwa wakiwasisitiza waumini wafuate mfano wao.

Sasa nashangaa kuna nabii eti ni wa mwisho na ndio mkuu kwa wote lakini mpaka sasa anaombewa akiwa amefariki.

Alikwama wapi na nini kimemfanya yeye asiwe na uhakika wa kuingia mbinguni mpaka aendelee kuombewa?
Kama imani haikuhusu waachie wenyewe...
 
huwafanyia Shere na Kejeli au Hila
Kwahiyo Allah aliwadanganya watu na kuwafanyia kejeli? Aliwachezea shere? Kweli Allah ni wa hatari sana. Kwahiyo akakaa miaka 600 ndio akaja kusema kwamba aliwakejeli? Sasa atawahukumu kwasababu gani ikiwa yeye ndio mwanzilishi wa kejeli?
 
Neno walifananishiwa lina fumbo ndani yake, yawezakuwa walioneshwa machonimwao kuwa amekufa ilihali hakufa. Lakini pia Hawakumsulubu ,japo machoni pao walioneshwa Kuwa wamemsulubu Au Walifananishiwa Mtu mwingine badala yake yesu na kuandikwa msalabani wakiamini kuwa ni Yesu.
Hapa wafasiri aya hii wametafautiana na kukubaliana kuwa Mungu ametufumba ,Siri yake anajua Mwenyewe Kwake yote yawezekana sisi tunaamini Neno lake kuwa ni kweli tuu. Na hakuna sababu kwa nini awachie wale wauwawe lakini huyu amuokowe ila ni Matakwa yake Mungu na Hekima yake.
Unapoamini hoja kama hii halafu upinge kwamba Mungu hawezi kuvaa ubinadamu na akaishi kama wanadamu unakuwa mtu wa kushangaza sana.
 
Kwahiyo Allah aliwadanganya watu na kuwafanyia kejeli? Aliwachezea shere? Kweli Allah ni wa hatari sana. Kwahiyo akakaa miaka 600 ndio akaja kusema kwamba aliwakejeli? Sasa atawahukumu kwasababu gani ikiwa yeye ndio mwanzilishi wa kejeli?
Unifahamu vyema.
Kwani Mungu si alijua kuwa Ibilisi shetani atamuasi tokea anamuumba?
Lakini kwa nini alimuacha akaja kutimiza dhamira yake ile kwa Baba yetu Adamu?
Kisha akamuhukumu adamu kwa dhambi ya Kula mti na kuwa na dhambi ya Asili?
Hekima ya Mungu si ile ya Binadamu.
Ukijuwa siri ya tukio la Ibilisi utajuwa kuwa Mungu alimbakiza kutoka kwa Majini waliokuwa kabla ya Mwanadamu kuumbwa.
Hatimae Ibilisi akiwa Kitoto akachukuliwa na Malaika akawekwa mbinguni pamoja na malaika.
Pamoja na Neema hii, Ibilisi alimkanusha Mungu kwa kumpinga amri yake na kujifanya anajua zaidi.
Mungu alimlaani na kumfukuza kwenye Rehema zake.
Kisha akamruhusu ampoteze Baba yetu ili iwe funzo kwetu kuwa Shetani atakuwepo nasi na atafanya uadui.
Mungu alienelea kumuachia aishi hadi siku ya Mwisho.
Ukhoji utasema Mungu katucheza shere?
Laa sivyo,huu ni mpango wake na Hekima yake .
 
Unifahamu vyema.
Kwani Mungu si alijua kuwa Ibilisi shetani atamuasi tokea anamuumba?
Lakini kwa nini alimuacha akaja kutimiza dhamira yake ile kwa Baba yetu Adamu?
Kisha akamuhukumu adamu kwa dhambi ya Kula mti na kuwa na dhambi ya Asili?
Hekima ya Mungu si ile ya Binadamu.
Ukijuwa siri ya tukio la Ibilisi utajuwa kuwa Mungu alimbakiza kutoka kwa Majini waliokuwa kabla ya Mwanadamu kuumbwa.
Hatimae Ibilisi akiwa Kitoto akachukuliwa na Malaika akawekwa mbinguni pamoja na malaika.
Pamoja na Neema hii, Ibilisi alimkanusha Mungu kwa kumpinga amri yake na kujifanya anajua zaidi.
Mungu alimlaani na kumfukuza kwenye Rehema zake.
Kisha akamruhusu ampoteze Baba yetu ili iwe funzo kwetu kuwa Shetani atakuwepo nasi na atafanya uadui.
Mungu alienelea kumuachia aishi hadi siku ya Mwisho.
Ukhoji utasema Mungu katucheza shere?
Laa sivyo,huu ni mpango wake na Hekima yake .
Unatoka nje ya mada kwa nini Allah aliwadanganya kwa kuweka isa bandia , jibu kwa ufupi usiweke makala
 
Unifahamu vyema.
Kwani Mungu si alijua kuwa Ibilisi shetani atamuasi tokea anamuumba?
Lakini kwa nini alimuacha akaja kutimiza dhamira yake ile kwa Baba yetu Adamu?
Kisha akamuhukumu adamu kwa dhambi ya Kula mti na kuwa na dhambi ya Asili?
Hekima ya Mungu si ile ya Binadamu.
Ukijuwa siri ya tukio la Ibilisi utajuwa kuwa Mungu alimbakiza kutoka kwa Majini waliokuwa kabla ya Mwanadamu kuumbwa.
Hatimae Ibilisi akiwa Kitoto akachukuliwa na Malaika akawekwa mbinguni pamoja na malaika.
Pamoja na Neema hii, Ibilisi alimkanusha Mungu kwa kumpinga amri yake na kujifanya anajua zaidi.
Mungu alimlaani na kumfukuza kwenye Rehema zake.
Kisha akamruhusu ampoteze Baba yetu ili iwe funzo kwetu kuwa Shetani atakuwepo nasi na atafanya uadui.
Mungu alienelea kumuachia aishi hadi siku ya Mwisho.
Ukhoji utasema Mungu katucheza shere?
Laa sivyo,huu ni mpango wake na Hekima yake .
Hapa sijaona ukijibu hoja niliyoleta. Maelezo uliyotoa hayajajibu juu ya udanganyifu aliofanya Allah.
 
Unapoamini hoja kama hii halafu upinge kwamba Mungu hawezi kuvaa ubinadamu na akaishi kama wanadamu unakuwa mtu wa kushangaza sana.
Pale ambap Mungu hakuleta andiko la kuvaa ubinadamu, ziwezi kukubaliana na wewe.
Na pale ambapo Mungu kakosoa kitabu chenu kwa andiko hilo ndani ya Qur-an ,sioni tena sababu ya kwa nini niwe na shaka.
Tatizo lako wewe hutaki kujiongeza katika kuyatafitimaandiko ya Vitabu vyetu hivi viwili.
Biblia ni kitabu cha zamani sana kimepitiwa na zama zaidi ya miaka 2000, wakati Qur-an ni kitabu kipya sana kina umri wa miaka 1440 tokea kifunuliwe kwetu kwa kupitia kw Mtume Muhammad (Rehema na amani iwe juu yake milele).
Andiko la Qur-an ni sawa na New Vesion of God's Word. ikiyasahihisha yale yaliyopitiwa na zama na karne kadhaa nayameingizwa mikono ya mwanadamu.Biblia ina migongano mingi sana , hata wakristo wenyewe wamekiri hilo na kufikia mahali kuona kuwa utakatifu wake unatia shaka.
Si kosa lako wala la kwangu, bali Shetani ndiye anayefanya kkazi ya kuwapotosha wanadamu kwa kuwashawishi na kuwasukuma kuingiza na kupindua maneno ya Mungu.
Ukiwa muwazi utabaini kuwa Wakiristo wangelihitaji Qur-an zaid ili kurekebisha mitazamo yao ya Kiimani.
Misho wa siku sisi wote ni Viummbe wa Mungu ,lakini tumetofautina ufuasi na ufahamu.
Naomba ujiongeze na soma Qur-an kamam mimi nisoma vyo Biblia.

Luka2:52 Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
 
Championship said: Nakusihi kama alivyosema Yesu
Yoh 4:8 Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.

Huundiyo msingi mkuu wa Uislamu , Unakwama wapi ndugu yangu?
 
Andiko la Qur-an ni sawa na New Vesion of God's Word. ikiyasahihisha yale yaliyopitiwa na zama na karne kadhaa nayameingizwa mikono ya mwanadamu
Unamuamini mungu ambaye hakuweza kulinda maandiko yake mwenyewe mpaka wanadamu wakamzidi ujanja na kuingiza mkono wao? 🤣🤣🤣 Sasa utajuaje kama hawajamzidi tena ujanja na kuleta quran iliyojaa uongo wa wazi?


Na pale ambapo Mungu kakosoa kitabu chenu kwa andiko hilo ndani ya Qur-an ,sioni tena sababu ya kwa nini niwe na shaka
Kwahiyo quran ni kazi ya Allah kukosoa biblia? Kwanini hajakosoa budha na wengineo ambao walikuwepo toka enzi hizo? Sisi tunafahamu shetani ndio mwenye project za kuharibu ujumbe wa biblia.
 
Bado nadhani Wauwaji wa manabii wtakuwa na Dhambi kuu kwa mungu.
Ndio unataka kuniambia kuwa Kifo cha Yesu Ni neema kwenu? hii ni Shere au mpango wa Mungu?
Luka 11:
47 Ole wenu, kwa kuwa mwajenga maziara ya manabii, na baba zenu ndio waliowaua.

48 Basi, mwashuhudia na kuziridhia kazi za baba zenu; kwa kuwa wao waliwaua nanyi mwawajengea maziara.

49 Na kwa sababu hiyo hekima ya Mungu ilisema, Tazama, nitatuma kwao manabii na mitume, nao watawaua baadhi yao na kuwafukuza,

50 ili kwa kizazi hiki itakwe damu ya manabii wote, iliyomwagika tangu kupigwa msingi wa ulimwengu;

51 tangu damu ya Habili hata damu ya Zakaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na hekalu. Naam, nawaambieni ya kwamba itatakwa kwa kizazi hiki.
 
Bado nadhani Wauwaji wa manabii wtakuwa na Dhambi kuu kwa mungu.
Ndio unataka kuniambia kuwa Kifo cha Yesu Ni neema kwenu? hii ni Shere au mpango wa Mungu?
Luka 11:
47 Ole wenu, kwa kuwa mwajenga maziara ya manabii, na baba zenu ndio waliowaua.

48 Basi, mwashuhudia na kuziridhia kazi za baba zenu; kwa kuwa wao waliwaua nanyi mwawajengea maziara.

49 Na kwa sababu hiyo hekima ya Mungu ilisema, Tazama, nitatuma kwao manabii na mitume, nao watawaua baadhi yao na kuwafukuza,

50 ili kwa kizazi hiki itakwe damu ya manabii wote, iliyomwagika tangu kupigwa msingi wa ulimwengu;

51 tangu damu ya Habili hata damu ya Zakaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na hekalu. Naam, nawaambieni ya kwamba itatakwa kwa kizazi hiki.
Haujatoa bado sababu za Allah ku danganya kuhusu Isa
 
Haujatoa bado sababu za Allah ku danganya kuhusu Isa
Nilidhani umesha vumbua jawabu , kumbe si mwelevu.
Sasa ni kuwa Wale waliokusudia kumuua Yesu ni watu waovu,
na lile tendo ni ovu asilolipenda Mungu.
Lakini ,mungu ana demokrasia kwa wanadamu kama wameamua wachague ubaya au wema, na watahukumiwa kwa matendo yao.
Kwa vile wamedhamiria kufuata nyayo za shetani na kukataa wito wa Yesu , Mungu amewasukumia huko huko walikotaka kwa kuwafananishia dhamira yao ya kuuwa,. Hawa Mayahudi wanamazowea ya kuwauwa Manabii
Ila aliwa tengenezea trick ili wazidi kupotea kwa vile upotevu ndio chaguo lao. Na Mungukiukweli alimuokowa Yesu(Isa)na kumpaisha mbinguni kwa miujiza mikubwa ambayo Mayahudi hawakuaiamini, na ndio wakaandika Uongo wao kwenye vitabu vitakatifu eti wamemuua Yesu na kifo chake ni kwa ajili ya Dhambi za waliomuamini. Mimi nadhani wewe unahitaji kujiuliza swali.
Kuuliwa kwa yesu ni tendo jema?
Je walio muuwa wanabaraka za Mungu baba?
Ikiwa Kifo chake ni kwa ajili ya Kufutia dhambi za Ulimwengu, kwanini basi wauwaji wahukumiwe kwa dhambi ile.?

Qur-an 3:155. Basi kwa sababu ya kuvunja kwao ahadi zao, na kuzikataa kwao ishara za Mwenyezi Mungu, na kuwauwa kwao Manabii bila ya haki, na kusema kwao: Nyoyo zetu zimefumbwa; bali Mwenyezi Mungu amezipiga muhuri kwa kufuru zao, basi hawaamini ila kidogo tu.

Soma Luka 11:

49 Na kwa sababu hiyo hekima ya Mungu ilisema, Tazama, nitatuma kwao manabii na mitume, nao watawaua baadhi yao na kuwafukuza,

50 ili kwa kizazi hiki itakwe damu ya manabii wote, iliyomwagika tangu kupigwa msingi wa ulimwengu;

51 tangu damu ya Habili hata damu ya Zakaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na hekalu. Naam, nawaambieni ya kwamba itatakwa kwa kizazi hiki.

jee hujaona kitu hapa , au hufahamu?
Umepigwa changa ndugu yangu ,Fahamu maandiko.
 
na ndio wakaandika Uongo wao kwenye vitabu vitakatifu eti wamemuua Yesu na kifo chake ni kwa ajili ya Dhambi za waliomuamini. Mimi nadhani wewe unahitaji kujiuliza swali.
Nimekwambia jibu kwa ufupi usiandike makala point za kutafuta na torch,
Umesema aliwadanganya kwa kuweka isa bandia , na wao wakaona isa kasulubia unasemaje tena walianindika uongo wakati wameandika walichoona ? kama umeona kitu na ukaandika ulichoona na kushuhudia uongo wako upo wapi?
 
Nimekwambia jibu kwa ufupi usiandike makala point za kutafuta na torch,
Umesema aliwadanganya kwa kuweka isa bandia , na wao wakaona isa kasulubia unasemaje tena walianindika uongo wakati wameandika walichoona ? kama umeona kitu na ukaandika ulichoona na kushuhudia uongo wako upo wapi?
Walioliomuamini yesu walikutana naye siku ya tatu na walithibitisha kuwa bado yu hai na hana majeraha.


Naye liwathibitishia kuwa Hajafa, wala hakusulubiwa. Lakini Mitaani ilijulikana hivyo ,na watawala wenye mamlaka waliweka record ya walichokiona. Hii ndiyo imani iliyomo ndani ya biblia yenye kukinzana.
Lakini wanafunzi walionana na Yesu Mafichoni. Petro hakuamini mpaka alipotia mkono ubavunikwake na kuthibitisha ikiwa ana alama za Misumari ya Kusulubiwa na majeraha au laa.
Hii ni kuonesha kuwa hawakumsulubu wala kumuuwa, Bali Muujiza ulitendeka pale nayeye aliwatoroka akiwa salama.
Ila hapa ndipo kwenye mizozo na mivutano ya waandishi ambao hawakuwa wanafunzi wa yesu.
Kisha akapaa Mbinguni mbele ya wnafunzi wake.
 
Walioliomuamini yesu walikutana naye siku ya tatu na walithibitisha kuwa bado yu hai na hana majeraha.


Naye liwathibitishia kuwa Hajafa, wala hakusulubiwa. Lakini Mitaani ilijulikana hivyo ,na watawala wenye mamlaka waliweka record ya walichokiona. Hii ndiyo imani iliyomo ndani ya biblia yenye kukinzana.
Lakini wanafunzi walionana na Yesu Mafichoni. Petro hakuamini mpaka alipotia mkono ubavunikwake na kuthibitisha ikiwa ana alama za Misumari ya Kusulubiwa na majeraha au laa.
Hii ni kuonesha kuwa hawakumsulubu wala kumuuwa, Bali Muujiza ulitendeka pale nayeye aliwatoroka akiwa salama.
Ila hapa ndipo kwenye mizozo na mivutano ya waandishi ambao hawakuwa wanafunzi wa yesu.
Kisha akapaa Mbinguni mbele ya wnafunzi wake.
Waliona uongo wa allah na kuandika walichoona , walioshuhudia ni wa kweli na allah ni muongo
ata wewe ungekuwa pale ungeona uongo wa allah ungeamini maana aliweka mtu anafanan kila kitu na isa,

swali , Allah alikaa mda gani mpaka kuja kusema alidanganya?
 
Waliona uongo wa allah na kuandika walichoona , walioshuhudia ni wa kweli na allah ni muongo
ata wewe ungekuwa pale ungeona uongo wa allah ungeamini maana aliweka mtu anafanan kila kitu na isa,

swali , Allah alikaa mda gani mpaka kuja kusema alidanganya?
Allah hadnganyi bali husema ukweli mtupu.
Lakini jiulize wewe,
Tokea dunia Iumbwe Binadamu alijiliwa na Manabii wakiwataka wamuabudu Mungu moja.
Lakini nyinyi munataka watu wamuabudu Yesu ,Eti yeye ndiyo kaja kuokowa Ulimwengu kwa Kifo chake,
Jiulize ni Miaka mingapi ilipita paka Mungu kufanya maamuzi ya kushuka Mwenyewe Duniani nakujigeuza Kuwa Mtu?
Huoni kuwa wengi hapo kati wamepotea na hata imani zao zilikuwa za Mungu mmoja asiyekuwa Mtu?
Mungu Hasemi Uongo.
Bali Nyinyi ndiyo mufundishao mafundisho ya Uongo ya Wanadamu.
 
Weka uthibitisho wa aya uliyosema
Luka 23:42-


42 Kisha akasema, Ee Yesu, nikumbuke utakapoingia katika ufalme wako.

43 Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.
LABDA UNITHIBITISHIE KUWA NENO HILI LILIKUWA LA KWELI AU FIX.Maana yesu alifufuka baada ya siku ya Tatu.
Je Alimdhihaki yule mtu aliyemuomba amkumbuke pale Msalabani?
 
Back
Top Bottom