Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Uongo wangu uko wapi?
Huyu Mariamu si katika uzao wa Israili - kupitia Isaka na Ibrahimu
Na huyu Muhamad si katika uzao wa Ishmael na Ibrahimu.
Au hujui Nasabu za wtu hawa?
Ok basi ikiwa hawakupinga wayahudi wenyee , uje kupinga wewe Msukuma?
wewe Mokiti una shida.
Kuna sheikh anaitwa uthaman kasema wazi muhammad sio abrahamic na akaongezA muhammad alikuwa pagan
 
Kwani we ulidhani nyoka anawakilisha nini japo😀😀😀? Kumbe wewe ni kilaza kuliko wenzako wote humu. Kaangalie movie ya Brian Deacon pale alipojaribiwa alitumika nani kumjaribu kuwakilisha shetani
Kaangalie movie utaelewa maana kwenye vitabu ni mweupe.


Kristo=laana
Shetani=laana
So Kristo=shetani

A=B
B=C
So A=C

Ngoja tukufundishe hesabu za logic kidogo. Naona una kichwa kigumu. Tunaenda kwa mifano😀

Wagalatia 3:13
Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14
Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka,“Kwa kuwa umefanya hivyo,umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa,na kuliko wanyama wote wa porini.Kwa tumbo lako utatambaa,na kula vumbi siku zote za maisha yako.
Kwa akili za namna hii ndio ulamaa kwenye dini yako? Ndio maana hata bomu ukiambiwa ubebe ujilipue unafanya.
 
Walishatangulia wenzio wengi kumtukana Mtume Muhammad mwenye sifa njema (saw)
Hatimae waliishia kusilimu na kuona aibu na wengine walijinyonga kwa Husuda zao.
Wewe si wa kwanza, na hutakuwa wa mwisho.
Mimi nashudia kuwa Yesu alikuwa mtu mwema na mwenye baraka tele na Miujiza ede kede ya Mungu .
Sija mtusi, na wala sikutusi wewe ,bali nakuona mtu usiye taka kuongeza kielimu
Mimi sija mtusi Muhammad ila nyie ndio mmeandika kumtusi , sasa child molester si ni nyie ndio mnasema alikabaka katoto Aisha kakiwa na miaka 6
 
Kwa akili za namna hii ndio ulamaa kwenye dini yako? Ndio maana hata bomu ukiambiwa ubebe ujilipue unafanya.

Mi natoa logic. Ungekuwa uganda enzi zile. Kibwetere angekutia kiberiti kutokana akili hauna. Mmetengenezewa movie mmetafsiriwa hadi kisukuma bado mmekuwa vilaza. Karudie tena kuangalia. Humu kwenye vitabu ni weupe.
Kristo=laana
Shetani=laana
So Kristo=shetani

A=B
B=C
So A=C

Ngoja tukufundishe hesabu za logic kidogo. Naona una kichwa kigumu. Tunaenda kwa mifano😀

Wagalatia 3:13
Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14
Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka,“Kwa kuwa umefanya hivyo,umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa,na kuliko wanyama wote wa porini.Kwa tumbo lako utatambaa,na kula vumbi siku zote za maisha yako.
 
Siku zote mkweli huongea kwa wema mtupu,Uisilamu ni alama ya upendo.Mungu akuzidishie elimu
Kuna upendo gani kwenye Uislam soma kitabu uone chuki ya Allah , tena alikuwa anadili na wakristo na wayahudi tu anawatukana mpaka anawaita punda
 
Mi natoa logic. Ungekuwa uganda enzi zile. Kibwetere angekutia kiberiti kutokana akili hauna. Mmetengenezewa movie mmetafsiriwa hadi kisukuma bado mmekuwa vilaza. Karudie tena kuangalia. Humu kwenye vitabu ni weupe.
Kristo=laana
Shetani=laana
So Kristo=shetani

A=B
B=C
So A=C

Ngoja tukufundishe hesabu za logic kidogo. Naona una kichwa kigumu. Tunaenda kwa mifano😀

Wagalatia 3:13
Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14
Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka,“Kwa kuwa umefanya hivyo,umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa,na kuliko wanyama wote wa porini.Kwa tumbo lako utatambaa,na kula vumbi siku zote za maisha yako.
Soma quran 4:157 uuone uongo wa Allah.
 
Walimoinga na wayahudi walimfuata mke toto Aisha kumwambia jamaa Ake muhammad anachanganya history Muhammad alivyoona kaharibu ikabidi akomae na uongo wake akasema walikuwa wanaitwa uzao wa manabiii😂😂😂😂😂

Issue kubwa ilikuwa Kuna dada wa Musa na Haruni alikuwa anaitwa Miriam ndio hapo mudi akachanganya akafikiti Mariam ndio huyo huyo
Kuna mwenzako kajitahidi kasema nyoka sio shetani. Kakubali kristo amelaaniwa. Wewe tunasibiri majibu yako😀😀😀. Kwa nini mnamuabudu mtu yupo kundi moja la shetani la kulaaniwa? Siachi hadi nipate majibu

Kristo=laana
Shetani=laana
So Kristo=shetani

A=B
B=C
So A=C

Ngoja tukufundishe hesabu za logic kidogo. Naona una kichwa kigumu. Tunaenda kwa mifano😀

Wagalatia 3:13
Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14
Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka,“Kwa kuwa umefanya hivyo,umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa,na kuliko wanyama wote wa porini.Kwa tumbo lako utatambaa,na kula vumbi siku zote za maisha yako.
 
Siku zote mkweli huongea kwa wema mtupu,Uisilamu ni alama ya upendo.Mungu akuzidishie elimu

Allah huyu hapa na chuki zake kwa wakristo

Q5:14 We had made a solemn covenant with those who call themselves Christians, but they forgot their share of the guidance that was sent to them. We have induced hatred and animosity among them which will remain with them until the Day of Judgment.......
 
Kuna mwenzako kajitahidi kasema nyoka sio shetani. Kakubali kristo amelaaniwa. Wewe tunasibiri majibu yako😀😀😀. Kwa nini mnamuabudu mtu yupo kundi moja la shetani la kulaaniwa? Siachi hadi nipate majibu
Unarudia rudia unajiona umeandika nondo 😂😂😂😂

Jua hizo tofauti kwanza
Allah = physical being creature
Jehovah = spiritual being

Ukiweza hapo maswali Yako utajicheka mwenyewe
 
Allah kamweka issa bandia msalabani.😂😂 Halafu anawahukumu kwa kuamini.
Hii logic ujibu leo. Kwa nini mnaabudu mtu aliyelaaniwa?


Kristo=laana
Shetani=laana
So Kristo=shetani

A=B
B=C
So A=C

Ngoja tukufundishe hesabu za logic kidogo. Naona una kichwa kigumu. Tunaenda kwa mifano😀

Wagalatia 3:13
Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14
Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka,“Kwa kuwa umefanya hivyo,umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa,na kuliko wanyama wote wa porini.Kwa tumbo lako utatambaa,na kula vumbi siku zote za maisha yako.
 
Unarudia rudia unajiona umeandika nondo 😂😂😂😂

Jua hizo tofauti kwanza
Allah = physical being creature
Jehovah = spiritual being

Ukiweza hapo maswali Yako utajicheka mwenyewe
Ni nondo kweli ndiyo maana hakuna aliyeweza kujibu😀
Kristo=laana
Shetani=laana
So Kristo=shetani

A=B
B=C
So A=C

Ngoja tukufundishe hesabu za logic kidogo. Naona una kichwa kigumu. Tunaenda kwa mifano😀

Wagalatia 3:13
Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14
Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka,“Kwa kuwa umefanya hivyo,umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa,na kuliko wanyama wote wa porini.Kwa tumbo lako utatambaa,na kula vumbi siku zote za maisha yako.
 
Back
Top Bottom