Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Yani unaona kabisa kajitwalia laana unasema kalaaniwa utakuwa chizi

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Hilo nishakujibu. Nataka kujua mtu aliyepokea laana anakuaje Mungu. Ukiambiwa shetani kajitwalia laana unaelewaje? Kukamilika mtu lazima awe na mwili na roho. Kristo alikuwa na mwili na roho. Utuambie amejititwalia laana kama shetani. Mwambie mzazi wako yoyote umejitwalia laana uone ugomvi wake😀.


Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Yani unaona kabisa kajitwalia laana unasema kalaaniwa utakuwa chizi

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Hilo nishakujibu. Nataka kujua mtu aliyepokea laana anakuaje Mungu. Ukiambiwa shetani kajitwalia laana unaelewaje? Kukamilika mtu lazima awe na mwili na roho. Kristo alikuwa na mwili na roho. Utuambie amejititwalia laana kama shetani. Mwambie mzazi wako yoyote umejitwalia laana uone ugomvi wake😀.


Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Hilo nishakujibu. Nataka kujua mtu aliyepokea laana anakuaje Mungu. Ukiambiwa shetani kajitwalia laana unaelewaje? Kukamilika mtu lazima awe na mwili na roho. Kristo alikuwa na mwili na roho. Utuambie amejititwalia laana kama shetani. Mwambie mzazi wako yoyote umejitwalia laana uone ugomvi wake😀.


Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
Anaesema Yesu ni Mungu ni Allah embu mbishie yeye

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
 
Anaesema Yesu ni Mungu ni Allah embu mbishie yeye

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Usikimbie swali. Nina kuuliza kwa nini unamuabudu kiumbe aliyetwalia laana kama shetani? Kumbuka ili Uwe binadamu lazima uwe na mwili pamoja roho ili mwili ufanye kazi.

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Usikimbie swali. Nina kuuliza kwa nini unamuabudu kiumbe aliyetwalia laana kama shetani? Kumbuka ili Uwe binadamu lazima uwe na mwili pamoja roho ili mwili ufanye kazi.

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
Nilishakuelewesha Mungu wa wakristo sio kiumbe ni Roho , unaleta mungu wako Allah physically being creature
Kulazimisha awe ndio Mungu wa wakristo .

Yn 4:24 SUV
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Mwa 1:1-2 SUV​

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
 
Sawa tumemaliza walio ona ni wakweli na Alie wafananishia ni muongo 😂 biblia ni kweli tupu
Nimecheka sana, mpaka unakufa huwezi kuonyesha ukweli wa Biblia hilo la kwanza.

Pili, swali llangu bado hujalijibu, kwa mujibu wa Biblia yenu ambayo unasema wewe ni ya kweli tupu, nitajie watu watano tu walio shuhudia hilo tukio la kusulubiwa kwa Yesu ?

Usikimbie swali.
 
Nimecheka sana, mpaka unakufa huwezi kuonyesha ukweli wa Biblia hilo la kwanza.

Pili, swali llangu bado hujalijibu, kwa mujibu wa Biblia yenu ambayo unasema wewe ni ya kweli tupu, nitajie watu watano tu walio shuhudia hilo tukio la kusulubiwa kwa Yesu ?

Usikimbie swali.
Watu wa tano vipi kama mmoja tu Allah humuamini alichokwambia , ndio maana nilitaka ukiri kwanza kitendo Cha kusulubuwa kilitokea , sasa unapopinga unampinga allaha 😂😂😂😂
 
Watu wa tano vipi kama mmoja tu Allah humuamini alichokwambia , ndio maana nilitaka ukiri kwanza kitendo Cha kusulubuwa kilitokea , sasa unapopinga unampinga allaha 😂😂😂😂
Allah anasema Yesu hakusulubiwa. Wewe na kitabu chako, unachokiamini unasema amesulubiwa, sasa nitajie watu watano tu walio shuhudia Yesu akisulubiwa kwa mujibu wa Biblia.

Kisha uje kujibu swali la Utume wa Yohana na ututhibitishie ya kuwa ile Injili ya Yohana ni kweli ameiandika yeye ? Haya ndiyo maswali ya msingi.
 
Nilishakuelewesha Mungu wa wakristo sio kiumbe ni Roho , unaleta mungu wako Allah physically being creature
Kulazimisha awe ndio Mungu wa wakristo .

Yn 4:24 SUV
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Mwa 1:1-2 SUV​

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

Hata binadamu ana roho na mwili. Ili mwili mwanadamu ufanye kazi lazima uwe na roho. Ndiyo maana mtu akifa unaambiwa roho imeacha mwili. Kristo alikuwa binadamu ambaye alikuwa na roho na mwili kama binadamu mwingine. Kristo amejitwalia laana kama shetani. Jibu kwa nini mnamuabudu kiumbe aliyelaaniwa kama shetani? Ukisema Mungu ni roho. Kila binadamu ana roho.​


Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Nilishakuelewesha Mungu wa wakristo sio kiumbe ni Roho , unaleta mungu wako Allah physically being creature
Kulazimisha awe ndio Mungu wa wakristo .

Yn 4:24 SUV
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Mwa 1:1-2 SUV​

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Itabidi utuambia roho yako kama ni physical being😀? Maana naona akili hauna.
Binadamu=roho+mwili
Kristo=roho+mwili
Angekuwa sio physical being tusingemuona akivalishwa nepi?

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Allah anasema Yesu hakusulubiwa. Wewe na kitabu chako, unachokiamini unasema amesulubiwa, sasa nitajie watu watano tu walio shuhudia Yesu akisulubiwa kwa mujibu wa Biblia.

Kisha uje kujibu swali la Utume wa Yohana na ututhibitishie ya kuwa ile Injili ya Yohana ni kweli ameiandika yeye ? Haya ndiyo maswali ya msingi.
Allah kasema wazi anaefanana na Yesu kila kitu kasulubiwa na ulikiri watu waliona , Allah amekuja kusema kweli alidanganya miaka 600 badae Yani vitabu vilishaandikwa kilichotokea , sasa Kiri hapa Allah alivyobadili watu hawakuona
 
Itabidi utuambia roho yako kama ni physical being😀? Maana naona akili hauna.
Binadamu=roho+mwili
Kristo=roho+mwili
Angekuwa sio physical being tusingemuona akivalishwa nepi?

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
Mnatia huruma kabisa 😂😂😂😂
Yani unakubali binadamu ni mwili + Roho = to one alafu hapo hapo unapinga Baba + mwana + Roho mtakatifu

Mungu wa wakristo sio physically being ni Roho ndio nature yake na ndio aliyotupulizia ili tuwe hai
Mungu Allah hana uhai ni statue

Soma
Yn 4:24 SUV
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Mwa 1:1-2 SUV​

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
 
Allah kasema wazi anaefanana na Yesu kila kitu kasulubiwa na ulikiri watu waliona , Allah amekuja kusema kweli alidanganya miaka 600 badae Yani vitabu vilishaandikwa kilichotokea , sasa Kiri hapa Allah alivyobadili watu hawakuona
Unapojadiliana na mimi tuliza akili, sababu katika neema nilizo jaaliwa na Mola wangu ni umakini na kutunza kumbukumbu.

Hapa naongelea kitabu chako ambacho una dai ni sahihi, hili kwanza weka akilini. Wewe unaamini ameshulubiwa mimi nina amini hajasulubiwa. Kwahiyo haijaalishi alionekana au hakuonekana.

Swali langu limemili katika imani yako wewe, si umesema Biblia ni kweli tupu, sasa hapa nataka unyeshe ukweli wa Biblia, usiruke ruke.

Hujaonyesha popote kwamba Allah amedanganya na hili mpaka unakufa. Kwahiyo waongo ni nyinyi ambao mnaamini mpaka leo Yesu alisulubiwa

Baada ya hapa sitakujibu chochote mpaka pale utakapo jibu maswali yangu.

Kazi yangu nimemaliza.
 
Soma post #593 kuna swali nimekuuliza pale.
Manabii na mitume wote ni wayahudi. Muhammad amekuja from nowhere? Muarabu hajawahi kuwa nabii. Muhammad ndio peke yake mnamuita mtume na hakuna mwingine tena katika waarabu.
 
Unapojadiliana na mimi tuliza akili, sababu katika neema nilizo jaaliwa na Mola wangu ni umakini na kutunza kumbukumbu.

Hapa naongelea kitabu chako ambacho una dai ni sahihi, hili kwanza weka akilini. Wewe unaamini ameshulubiwa mimi nina amini hajasulubiwa. Kwahiyo haijaalishi alionekana au hakuonekana.

Swali langu limemili katika imani yako wewe, si umesema Biblia ni kweli tupu, sasa hapa nataka unyeshe ukweli wa Biblia, usiruke ruke.

Hujaonyesha popote kwamba Allah amedanganya na hili mpaka unakufa. Kwahiyo waongo ni nyinyi ambao mnaamini mpaka leo Yesu alisulubiwa

Baada ya hapa sitakujibu chochote mpaka pale utakapo jibu maswali yangu.

Kazi yangu nimemaliza.
Allah kasema tukio kilitokea kwa yeye Kuweka bandia , na watu waliona umekiri wazi kabisa sasa uongo wa walioandika walicho ona upo wapi , tuliza akili fikiria

Nimekwambia Kuna sheikh amesema wazi hiyo Aya ina shida maana ata yeye angekuwepo pale angeona Isa kasulubiwa
 
Unapojadiliana na mimi tuliza akili, sababu katika neema nilizo jaaliwa na Mola wangu ni umakini na kutunza kumbukumbu.

Hapa naongelea kitabu chako ambacho una dai ni sahihi, hili kwanza weka akilini. Wewe unaamini ameshulubiwa mimi nina amini hajasulubiwa. Kwahiyo haijaalishi alionekana au hakuonekana.

Swali langu limemili katika imani yako wewe, si umesema Biblia ni kweli tupu, sasa hapa nataka unyeshe ukweli wa Biblia, usiruke ruke.

Hujaonyesha popote kwamba Allah amedanganya na hili mpaka unakufa. Kwahiyo waongo ni nyinyi ambao mnaamini mpaka leo Yesu alisulubiwa

Baada ya hapa sitakujibu chochote mpaka pale utakapo jibu maswali yangu.

Kazi yangu nimemaliza.
Alie tengeneza ukristo ni Allah Kwa Kuweka Isa bandia na kukaa miaka bila kukiri uongo wake , ameacha mpaka watu wamegadithiana walicho ona na wakaamini , Allah muongo 😂😂😂 Allah ni Lucifer father of all lies
 
Manabii na mitume wote ni wayahudi. Muhammad amekuja from nowhere? Muarabu hajawahi kuwa nabii. Muhammad ndio peke yake mnamuita mtume na hakuna mwingine tena katika waarabu.
Mpaka najiuliza kwanini hujibu maswali yangu. Nilitegemea hapa ungeanza kuchambua nasaba ya Mtume wetu, kisha ukaonyesha ya kuwa hajatokea kwenyw dhuriya wa nabii Ismaili, hili umeshindwa.

Lakini umezua lingine kwamba manabii na mitume wote walikuwa Mayahudi. Hapa nikashangaa sana, sababu napenda mjihukumi wenyewe. Naomba uthibitishe ya kuwa Manabii wote na mitume walikuwa Mayahudi.

Kisha utuonyeshe je uyahudi ni dini na kabila, kama ni dini, msingi wa dini ya uyahudi ni upi ? Kingine utuambie Uyahudi ulianza lini ? Sababu mpaka nabii Musa anaondoka hapa duniani, Uyahudi ulikuwa haupo. Sasa naomba utuonyeshe hili kielimu.
 
Allah kasema tukio kilitokea kwa yeye Kuweka bandia , na watu waliona umekiri wazi kabisa sasa uongo wa walioandika walicho ona upo wapi , tuliza akili fikiria

Nimekwambia Kuna sheikh amesema wazi hiyo Aya ina shida maana ata yeye angekuwepo pale angeona Isa kasulubiwa
Nasubiri majibu ya maswali yangu.
 
Alie tengeneza ukristo ni Allah Kwa Kuweka Isa bandia na kukaa miaka bila kukiri uongo wake , ameacha mpaka watu wamegadithiana walicho ona na wakaamini , Allah muongo 😂😂😂 Allah ni Lucifer father of all lies
Nasubiri majibu ya maswali yangu.
 
Kama ambavyo Habari za Yesu kuwa ni MUNGU, hazikuwepo mpaka alipokuja SAULI,
Huko nyuma Mungu alikuwa Mungu na Nanbii alikuwa nabii mpaka yesupia alijua hivyo kuwe yeye ni NABII

Marko 6:4 BHN​

Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima isipokuwa katika nchi yake, kwa jamaa zake na nyumbani mwake.”
Hili la kuwa yeye ni Mungu ni uzushi wa Waandishi na SAULI.
Soma isaya 9:6 na yohana 17:5 halafu uniambie kama hayo yaliandikwa na Paulo mtume.

Halafu huwa hamuwezi kujenga hoja na kumtetea muhammad bila kulazimisha kutumia biblia? Quran haiwezi kumtetea muhammad kama mtume aliyekuja from nowhere? Manabii na mitume wote wa zamani walikuwa wayahudi, huyu mwarabu katokea wapi?
 
Back
Top Bottom