Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Nimekuuliza walio ona na kuandika walicho ona je ni waongo au wa kweli ?
Unatakiwa uulize baada ya kujibu maswali yangu. Soma tena maswali yangu yanataka nini kisha ujibu.
 
Kuna kitu kinakushinda kijana jifunze kabla Hujaleta andika nenda kasome commentary ya wakristo hujue Aya inaongea nini , Mimi sijawahi leta Aya humu kabla sijasoma tafsir za waislamu nijihakikishie waislam wanasemaje kuhusu Aya, nakushauri kuliko kurudia rudia Verse kasoma commentary ya wakristo alafu rudi
Kwanini unaandika uongo na hiogopi ? Ungekuwa unaleta tafsiri zetu singekuwa unakosea wala kukimbia maswali tunayokuuliza.

Humu huwa unaleta maana zenu wenyewe toka kwa wakubwa zako wanao jidai wameusoma Uislamu na huku hawaujui, mwisho wa siku tunakuuliza maswali hujibu unakimbia na kuruka ruka kama hivi.
 
Kuna kitu kinakushinda kijana jifunze kabla Hujaleta andika nenda kasome commentary ya wakristo hujue Aya inaongea nini , Mimi sijawahi leta Aya humu kabla sijasoma tafsir za waislamu nijihakikishie waislam wanasemaje kuhusu Aya, nakushauri kuliko kurudia rudia Verse kasoma commentary ya wakristo alafu rudi
Tangu lini mkawa na commentary😀? We si ulidai biblia inaeleweka? Unipe maana nyingine ya kulaaniwa.
 
halafu uniambie kama hayo yaliandikwa na Paulo mtume.
Kama unjua Lugha utagundua kuwa Isaya ametabiri Kweli kabisa.
YaaniMtoto huyo hatokuwa hivyo watu walivyo mwita.bali
Isaya alibaini upotevu wa akina Paulo watakaomwita Yesu Mungu kitu ambacho si sahihi.
Naye ataitwa jina
lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu,
Baba wa milele , Mfalme wa amani.”
Wanautatu wengi hutumia fungu hili kudai kwamba yesu ni Mungu. Huu ni opotevu lakini isaya alitabiri litakalotokea baadae.
Ukweli ni Maneno ya yesu mwenyewe na Malaika

Maneno ya malaika yametofautiana na Isaya, kuoesha kuwa waliomwita hivyo wamekosea sio kupatia huko.

Mt 1:21 SUV​

Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.
 
Quran haiwezi kumtetea muhammad kama mtume aliyekuja from nowhere? Manabii na mitume wote wa zamani walikuwa wayahudi, huyu mwarabu katokea wapi?
Mungu alikuwa akileta manabii kwa kila taifa
Lakini aliwataja kwenye Maandiko hawa wa Middle east tu.
Mungu alimleta Muhammad kutoka kwenye Uzao wa Ismail kutoka kwa Ibrahim.
jiongeze kielimu Bw Championship. Mbona haya mambo yako wazi.
Kbla yaIbrahimu kulikuwa na manabii wengi tuu wasiokuwa waisrail,
Kwani Israil ni Yakobo aliye mzaa Joseph na nduguze 12.
 
Nilimuuliza Mokit .
yeye ametahiriwa ili awe ameingia kwenye agano lile la Ibrahimu,?
Naona kakwepa na kusepa.
Sasa sijui wewe Champion Umetahiriwa kama Bw. yesu?
Auna wewe ndo wale wale?
 
Kama unjua Lugha utagundua kuwa Isaya ametabiri Kweli kabisa.
YaaniMtoto huyo hatokwa hivyo watu walivyo mwita.
Isaya alibaini upotevu wa akina Paulo watakaomwita Yesu Mungu kitu ambacho si sahihi.
Naye ataitwa jina
lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu,
Baba wa milele , Mfalme wa amani.”
Wanautatu wengi hutumia fungu hili kudai kwamba yesu ni Mungu. Huu ni opotevu lakini isya alitabiri litakalotokea baadae.
Ukweli ni Maneno ya yesu mwenyewe na Mlaika

neno ya malaika yametofautiana na Isaya, kuoesha kuwa waliomwita hivyo wamekosea sio kupatia huko.

Mt 1:21 SUV​

Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.
Kama hivi ndivyo unavyotafsiri maandiko basi kweli quran imekupa upofu mkali.
 
Mungualikuwa akileta manabii kwa kila taifa
Lakini aliwataja kwenye Maandiko hawa wa Middle east.
Mungu alimeta Muhammad kutoka kwenye Uzao wa Ismail kutoka kwa Ibrahim.
jiongeze kielimu Bw Chanpionship
Nitajie manabii na mitume wengine kwenye uzao wa Ishmael.
 
Nilimuuliza Mokit .
yeye ametahiriwa ili awe ameingia kwenye agano lile la Ibrahimu,?
Naona kakwepa na kusepa.
Sasa sijui wewe Champion Umetahiriwa kama Bw. yesu?
Auna wewe ndo wale wale?
Kwanini nisiwe nimetahiriwa? What's so special about kutahiriwa kimwili? Hilo ni jambo la kiafya na kila jamii iliyostaarabika inafanya tohara.

Ndani ya Kristo Yesu tohara ni katika moyo, sio kimwili.

Uislam ni dini ya mwilini ndio maana mnawaza ngono hadi ahera.
 
Kwanini nisiwe nimetahiriwa? What's so special about kutahiriwa kimwili? Hilo ni jambo la kiafya na kila jamii iliyostaarabika inafanya tohara.

Ndani ya Kristo Yesu tohara ni katika moyo, sio kimwili.

Uislam ni dini ya mwilini ndio maana mnawaza ngono hadi ahera.
Mwanzo 17:
23 Ibrahimu akamtwaa Ishmaeli mwanawe, na wote waliozaliwa nyumbani mwake, na wote walionunuliwa kwa fedha yake, wanaume wote wa watu wa nyumba ya Ibrahimu, akawatahiri nyama ya magovi yao siku ile ile, kama Mungu alivyomwambia.
24 Naye Ibrahimu alikuwa mwenye umri wa miaka tisini na kenda alipotahiriwa nyama ya govi lake.
25 Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.
26 Siku ile ile akatahiriwa Ibrahimu na Ishmaeli mwanawe.

Uisalamu ni dini Ya Ibrahimu na ini ya Yesu pia
lakini Ukiristo usiokuwa na sheria wala Agano ni Dini ya Mwenyewe Sauli akiongozwa na .......
 
YESU NAYE KUFUATA AGANO LA MUNGU kutoka kwa Ibrahimu.

Lakini Wakiristo wa leo wasema hali wahusu,
Kweli nyinyini ni wafuasi wa Yesu?
Ndo maana Hamufuatimafundishoyake.
Munamfuata SAULU Nabii wa kujitweza mwenyewe, hakuwahikuwa Mwanafunzi wa Yesu ,
Na yeye ndiye aliye anzisha Ukiristo pale Antiokia
 
YESU NAYE KUFUATA AGANO LA MUNGU kutoka kwa Ibrahimu.

Lakini Wakiristo wa leo wasema hali wahusu,
Kweli nyinyini ni wafuasi wa Yesu?
Ndo maana Hamufuatimafundishoyake.
Munamfuata SAULU Nabii wa kujitweza mwenyewe, hakuwahikuwa Mwanafunzi wa Yesu ,
Na yeye ndiye aliye anzisha Ukiristo pale Antiokia
Unajaribu kuchekesha.🤣🤣 Paulo anafahamika na kanisa tangu Yerusalemu. Alifahamiana na mitume wote katika nyakati zake.

Muhammad ndio mtu wa kujikweza from nowhere. Hakuna nabii au mtume mwarabu.
 
Unajaribu kuchekesha.🤣🤣 Paulo anafahamika na kanisa tangu Yerusalemu. Alifahamiana na mitume wote katika nyakati zake.

Muhammad ndio mtu wa kujikweza from nowhere. Hakuna nabii au mtume mwarabu.
Kwa hiyo wewe ndiyouna hukumu hivyo kuwa Mungu hakutuma BNabii kwa watu wengine isipokuwa kwa Israeli tu?
 
Kwanini unaandika uongo na hiogopi ? Ungekuwa unaleta tafsiri zetu singekuwa unakosea wala kukimbia maswali tunayokuuliza.

Humu huwa unaleta maana zenu wenyewe toka kwa wakubwa zako wanao jidai wameusoma Uislamu na huku hawaujui, mwisho wa siku tunakuuliza maswali hujibu unakimbia na kuruka ruka kama hivi.
Ni wapi aljallalyn akiwa tafsir ya wakristo, ibn abas na huwa naweka kabisa ni tafsir ya nani
 
Nilimuuliza Mokit .
yeye ametahiriwa ili awe ameingia kwenye agano lile la Ibrahimu,?
Naona kakwepa na kusepa.
Sasa sijui wewe Champion Umetahiriwa kama Bw. yesu?
Auna wewe ndo wale wale?
Tungeanza na muhammad utuambie Kwa Nini hakutahiriwa , alikuwa govinda
 
Back
Top Bottom