Yaani Corona iliyomlaza ICU Kwa weeks ndiyo inapakaziwa system?Alisimamia Majeshi, alikuwa Mwaminifu, royal to Magufuli. Asingeweza kumsaliti. Ilibidi aondoke, aondelewe.
Hata mimi mwanzo nili muelewa ila baada ya hayo matukia na kuanza kudhalilisha na kutukana wafanyakazi wa uma nika pata mashakaBinafsi chuki yangu dhidi ya JPM ilikuwa vifo vya Kina Ben saanane,Azory Gwanda na wengineo hata zile Risasi za Lisu zilinifanya Nimchukie!!!SASA LEO UNAPONIAMBIA ALIHUJUMIWA NASHTUKA SANA!!KAMA KWELI JAMAA ALIHUJUMIWA !BASI KAMA TAIFA TUNAPASWA TUMUOMBE MUNGU MSAMAHA KWA UOVU TULIOFANYA NA TAIFA LITAPITIA KIPINDI KIGUMU SANA NAAMINI HIVYO!!!
Uko vizuri. Baada ya kumkatalia agenda ya Rais wa Maisha na kumtaka iundwe Tume huru ya Uchaguzi kabla hata ya Katiba mpya. Tume Ikiwa tayari ndiyo Katiba mpya ishughulikiwe.Kwa maoni yangu Mimi magu alimuua mkapa naye akauawa na corona
Hii ni story yako uliyo jisikia kuitunga na kutaka kuwaaminisha wajinga wenzioMkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Mpaka Leo sijaelewa watumishi wa umma walimkosea nini Magufuli. Tetesi ilisikika kuwa 2015 alishindwa vibaya mno na mpinzami. Ikabidi wajiulize hata Kura za watumishi hakupata? Ikabidi wpekue wapiga Kura watumishi ndiyo wajakuta karibia wote waliopiga Kura hawakumchagua bali walimpa Kichwa cheupe. Aliapa atawakomesha na aliwakomesha kwelikweli. Ila hakujua Mungu ndiye komesha yote.Hata mimi mwanzo nili muelewa ila baada ya hayo matukia na kuanza kudhalilisha na kutukana wafanyakazi wa uma nika pata mashaka
Laana za waliokufa na kupotea zilitomia. Na damu zilizomwaga. Hivi wale wajane wamebaki na watoto bila Baba machozi Yao unaijua laana yake? Laana ya mjane ni mbaya mno na chozi lake halikuachi salama. Achilia mbali yatima ambao hawajui Baba Yao alipo. Bora angekufa wakamzika. Wengine wanaamini bado ndugu zao watarudi. Poor Them. Ohh God.Waliuliwa na watu kama wewe. Wenye uchu wa madaraka, wasiojali maslahi wananchi.
Anasahau kwamba hata makamu wa rais wa sasa kaponea chupuchupu pale Dodoma Benjamini mkapa Hospital sababu ya covid19 halafu wao wanaaminishana ujingaSasa hao wengine "waliuawa:" kwa sababu walikuwa na athari gani na kwa akina nani kama ambavyo mnajaribu kuaminisha watu kwamba JPM aliuawa kwa sababu alikuwa threat kwa baadhi ya watu?! Btw, kwani utawala wa sasa upo kwenye COVID-19 Denial kama ulivyokuwa utawala wa Magu?! Wakati wenzenu wamechanja, utawala wa Magu ulikuwa unasemaje kuhusu chanjo?! Au unajisahaulisha? Na unataka kujisahaulisha hata Mpango alipoponea tundu la sindano kwa hiyo hiyo COVID-19?
Walikuwa wanapendana sana wakaamua waondoke kwa kufuatana. Saa hii wanapiga stori tu kuhusu mkesha wa KrismasiKifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Mpaka Leo sijaelewa watumishi wa umma walimkosea nini Magufuli. Tetesi ilisikika kuwa 2015 alishindwa vibaya mno na mpinzami. Ikabidi wajiulize hata Kura za watumishi hakupata? Ikabidi wpekue wapiga Kura watumishi ndiyo wajakuta karibia wote waliopiga Kura hawakumchagua bali walimpa Kichwa cheupe. Aliapa atawakomesha na aliwakomesha kwelikweli. Ila hakujua Mungu ndiye komesha yote.
Sukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?
Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
Kufa na kupona kumpandisha uchumi wa Nchi 🤔🤔Wote walipigania kufa na kupona kupandisha uchumi wa nchi. Sina jibu ila ni swali fikirishi.
Technically ni adhabu hayo ya kuishi mile ni ishu tofautiUnacoment kama kichaa we jamaa.Unakichukulia kifo cha Magufuli kama ni adhabu we utaishi milele? tena usishangae utakufa we kifo cha aibu cha upweke na kukosekana hata pesa ya mazishi.Punguza ujinga mwalimu wewe
Mbona baada ya Magufuli wamekufa wabunge na mawaziri wasiopungua 3Tuseme ilikuwa Corona... then baada ya kuondoka Magufuli na Corona ndio ikaishia pale..
Mpaka iliporudi tena omicron hivi karibuni, sijui hii itaishia kwa nani, let's wait and see.
Mlidharau chanjo ,saizi wafe kwa nini wakati wamechukua hatua?Vipi kuhusu vifo vya wengine ndani ya miezi mitatu. Sasa hivi hakuna kiongozi anyekufa na Corona, ugonjwa wa moyo, ugonjwa wowote.
AiseeeeeUnadhani Mungu aliwapa heshima ya Urais kama tulivuowapa sisi?
Wale ni wananchi tu na wananchi mamia kwa maelfu wanakufa wakiongozana kila siku.
Usisthue kifo cha mtoto mdogo (innocent baby) cha mtoto wa dada yako au jirani yako ushtuke vifo vya wale wazee wenye kauli za kishenzi!
Mara kaa nyumbani na mavi yako
Mara mwingine awaite binadamu wenzake wapumbavu
Mara nitaanza kupiga shangazi zako
Nendeni mkashtakiWaliuliwa na watu kama wewe. Wenye uchu wa madaraka, wasiojali maslahi wananchi.