Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwani wewe taarifa zako za kiintelijensia kutoka kwa Mungu zinasema Mkapa na Magufuli walitakiwa kufa kwa interval ya muda gani?Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Labda ana rejista ya saa za kufa.Kwani wewe taaeifa zako kutoka kwa Mungu zinasema Mkapa na Magufuli walitakiwa kufa kwa interval ya muda gani?
Ndio atueleze.Labda ana rejista ya saa za kufa.
Sawa...na Mkapa je!?Nimefuatilia mjadala, na nashawishika kusema ni Sexless ndie bila shaka amemwelewa mleta mada vizuri sana kwamba they're in denial! Nami nasisitiza, ni upumbavu hata kufikiria let alone kuamini eti JPM kauawa!! Mtu kaanza kuumwa moyo hata kabla hajaingia kwenye siasa halafu leo mtu uamini kuna mkono wa mtu!! Yaani watu kwa ujinga tu wanataka kuaminishana JPM alikuwa threats kwa watu na ndo maana wamemwondoa!!
Mkuu, nadhani huelewi ninachoandika.Nakwambia hivi, kama ulikua hujui ulichoandika ni propaganda ndio mimi nakujulisha sasa. Hiyo corona iue viongozi selectively, tena inner circle tu halafu ipotee ghafla! Mbona wanafamilia wa hawa viongozi waliofariki wasife nao kwa kuambukizwa hiyo corona? Wake zao, watoto zao na ndugu wa karibu ambao ndio wanawauguza kwa karibu iweje wasipate hiyo corona na wao wafe? Unaweza ukaandika propaganda unavyotaka lakini ukweli utakua wazi tu, and very soon.
😂😂😂Watu wanaopendana sana huwa ivo.
Umeshapiita mwaka bila huo ukweli kusikika, ni imani potofu kuamini kuwa kila kifo kina mkono wa binadamu.Nakwambia hivi, kama ulikua hujui ulichoandika ni propaganda ndio mimi nakujulisha sasa. Hiyo corona iue viongozi selectively, tena inner circle tu halafu ipotee ghafla! Mbona wanafamilia wa hawa viongozi waliofariki wasife nao kwa kuambukizwa hiyo corona? Wake zao, watoto zao na ndugu wa karibu ambao ndio wanawauguza kwa karibu iweje wasipate hiyo corona na wao wafe? Unaweza ukaandika propaganda unavyotaka lakini ukweli utakua wazi tu, and very soon.
Mikono ya watu ipo tena Sana tuUmeshapiita mwaka bila huo ukweli kusikika, ni imani potofu kuamini kuwa kila kifo kina mkono wa binadamu.
Mwaka mmoja ni dakika chache sana in the grand scheme of things. Wauaji wa Thomas Sankara wamehukumiwa mwaka huu! Kama hakuna aliyehusika na vifo hivyo basi hakuna haja ya wasiwasi, right?Umeshapiita mwaka bila huo ukweli kusikika, ni imani potofu kuamini kuwa kila kifo kina mkono wa binadamu.
Sio kila anaekufa anapumzika Kwa amani acha ujingaTuwaache wapumzike kwa amani
MKAPA alifia kwenye hospital ya DSM huo ni utata, MAGUFULI ndy balaa zaidiUtata uliouona ni upi?
Waziri wa ulinzi yupi huyo alikufa?Waziri wa Ulinzi alikuwa na influence gani?
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Lengo kuu?Vilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Sio kila anaekufa anapumzika Kwa amani acha ujinga