Sukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?
Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
Endelea kuamini sio tishio lakini wenzako wamechanja, na wale ambao walikuwa wanakejeli chanjo sina haja ya kukukumbusha kilichowakuta!! Na hapa nakukumbusha tena hata Phillip Mpango alitokea dirishani! Kila mmoja alimshuhudia akiongea akiwa hoi kwa sababu tu ya kutaka kuwananga waliokuwa wanasema amelazwa yupo mahtuti kwa ajili ya corona!!
Kwa maoni yangu Mimi magu alimuua mkapa naye akauawa na corona
Nimefuatilia mjadala, na nashawishika kusema ni Sexless ndie bila shaka amemwelewa mleta mada vizuri sana kwamba they're in denial! Nami nasisitiza, ni upumbavu hata kufikiria let alone kuamini eti JPM kauawa!! Mtu kaanza kuumwa moyo hata kabla hajaingia kwenye siasa halafu leo mtu uamini kuna mkono wa mtu!! Yaani watu kwa ujinga tu wanataka kuaminishana JPM alikuwa threats kwa watu na ndo maana wamemwondoa!!
Vipi kuhusu CDFVilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Inamaana ziara alikuwa akipangiwa yule babaakarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Huko waliko hawana amani yoyote wanayostahili.
Kwahiyo huko wanakokutaka COVID Passport unawaona wapuuzi sio?! Au unawaona ni paranoia kuwataka watu wathibitishe kuchanjwa wakati covid yenyewe "sio tishio kivile"?!Mimi nimechanga,nimepata booster ijumaa iliyopita.
Sababu kwa kazi zangu lazima niwe na chanjo, Covid passport. Kusafir...
Hahaaa amani tele kuondoka kwa shetani na malaika zake kipindi kimojakama ambavyo huna amani na ni masikini.
Kwahiyo huko wanakokutaka COVID Passport unawaona wapuuzi sio?! Au unawaona ni paranoia kuwataka watu wathibitishe kuchanjwa wakati covid yenyewe "sio tishio kivile"?!
Hakuumwa moyo?! Kwahiyo hata lile gazeti la miaka kadhaa iliyopita ambalo liliandika "VARSITY APPEALS FOR HELP" na kusema "The Acting Vice-Chancellor of the University of Dar es salaam, Prof P. Mlama has appealed to the public to financially assist a postgraduate student Joseph Pombe..."Gazeti likaendelea kuandika "Pombe who's taking Master of Science at the University has been suffering from Hypertropic Cardiomyopathy and is required to undergo surgery in Britain."jpm hakuumwa moyo,epuka matapeli.
sexless yuko kwenye biashara ya mwili humu.
Hahaaa amani tele kuondoka kwa shetani na malaika zake kipindi kimoja
Hakuumwa moyo?! Kwahiyo hata lile gazeti la miaka kadhaa iliyopita ambalo liliandika "VARSITY APPEALS FOR HELP" na kusema "The Acting Vice-Chancellor of the University of Dar es salaam, Prof P. Mlama has appealed to the public to financially assist a postgraduate student Joseph Pombe..."Gazeti likaendelea kuandika "Pombe who's taking Master of Science at the University has been suffering from Hypertropic Cardiomyopathy and is required to undergo surgery in Britain."
Hilo gazeti nalo walikuwa waongo?! Na walikuwa na sababu gani za kusema uongo dhidi ya mwanafunzi?! G
Nani amesema habari za lockdown?! Hizo habari za lockdown zilikuwa ni propaganda za wafuasi wa Magu lakini majority wala hawakuwa wakizungumzia lockdown bali walikuwa wanaitaka serikali kuwa serious na tahadhali! Lakini badala ya serikali kuonesha u-serious, ikawa mara maombi, mara nyungu, mara kikombe cha Madagascar; yaani tafrani! Kama hiyo haitoshi, rais aka-discredit mashine za kupimia ugonjwa, na dada wa watu aliyekuwa anaongoza kitengo, akatumbuliwa eti anatumika na mabeberu! na kuanzia hapo hatukuambiwa tena kuhusu takwimu za status ya ugonjwa!Unajua Sweden, Japan hawakuwa na Lockdown, Kesi za Corona zilikuwa ndogo sana.
Walifanyaje,waliwaambia watu chukueni tahadhari. Mjilinde common sense stuffs. Nawa mikono,jilinde.
Mkapa naweza kusikitika kidogo, alikuwa dikteta lakini katika Marais wote wa nchi hii huyo ndo tunaweza kusema aliijenga nchi; wengine wote wahuni tuKifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Jibu swali, gazeti la serikali lilikuwa na sababu gani za kumsingizia mwanafunzi? Na wamsingizie ili iweje?jpm hakuwahi kuumwa moyo,epuka matapeli.
jpm hakuumwa moyo,epuka matapeli.
sexless yuko kwenye biashara ya mwili humu.
Jibu swali, gazeti la serikali lilikuwa na sababu gani za kumsingizia mwanafunzi? Na wamsingizie ili iweje?