ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Ili tuende sawa na mjadala huru, tujibu swali hili. Kwanini binadamu huzaliwa, huishi kwa kipindi Fulani na Kisha kufa?
Belarus wakiendelea na maisha bila lockdown,Belarus ni ulayaJPM aliona mbali, hauwezi kuishinda Corona by lockdowns, chanjo pekee kuwafungia watu.
Virus anabadilika kila baada ya muda fulani, lakini pia natural immune system ya kila mtu, mwenye afya binadamu inapambana na kuua virus, bacteria.
Ni hivi kuna polisi,majeshi,vikosi vya ulinzi na usalama ndani ya mwili wako. Vinapambana kukulinda kila siku.
Iulize uviko 19Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Belarus wakiendelea na maisha bila lockdown,Belarus ni ulaya.
Sijaelewa mantiki yako,naona Kama umeniparamia!!!...Hata hii mipaka, imepangwa na Mzungu. Russia ipo Ulaya, Asia.
Hakuna bara la Ulaya, kimantiki kijiografia.
Yeye mwenyewe aliwahi sema anaumwajpm hakuwahi kuumwa moyo,epuka matapeli.
Tena baada ya kifo cha kwanza, timu msoga ikazusha eti kifo cha pili kamuondoa ili agombee term ya tatu (kumbukeni nuzi zililetwa jukwaani). Mkakati ilikuwa kumpotezea uelekeo kifo cha pili awe busy kujihami huku wanamalizia mipangoKifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Corona ilikuja kuwaondoa watu maalumuTuseme ilikuwa Corona... then baada ya kuondoka Magufuli na Corona ndio ikaishia pale..
Mpaka iliporudi tena omicron hivi karibuni, sijui hii itaishia kwa nani, let's wait and see.
Unavuna unachopandaMission za wahuni. Mkapa na MagufuliJP ndo walionekana kuwa vizingiti kwa wapigaji wahuni. It was planned for me. Wahuni wanakera sana
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Hivi hili linawezekana kweli, halafu ikatumiwa corona kama sababu?Vilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Wewe size yako ni hayaSukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?
Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
Kwa hiyo alitangulizwa mkapa ndio magufuli akafuata? Influence ya mkapa ilikuwa ipi ilihali alikuwa mstaafu kama kikwete tu?Huwezi ku deal na mtoto kama baba yupo
Walikuwa ndàni, na kuna vitu walikosea Ujana,madaraka.
Ila vile vilikuwa vichwa haswa.
Utata mwingi tu liache hivo hivoUtata uliouona ni upi?
Umeshinda mkuu like nyingi kwako hao wachovu hata like hawanaMkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Yule dogo wa Tabora?Huwa wanapumzika? Yule dogo aliyekufa 4 yrs ago na kuibuka majuzi akiwa hana ulimi kadai hakuna kupumzika huko [emoji12][emoji12]
Sijaelewa mantiki yako,naona Kama umeniparamia!!!...