Tulieni mahakama zipowazi mnakaa mnawaza mtu akiwa rais hafi na akifa kauwawa wakati maradhi yapo kwa kila mwanaadamu ukifa wewe sawa akifa raisi kauwawa na lawama zote anapelekewa rais Fulani mstafu tujiulize je kama anauwezo naushawishi nguvu zote hizo anashindwaje kurudi madarani?kwamaana bilakushawishi vyombo vikubwa vya ulinzi huwezi kufikia hatua yakuzuru wenzako nahivi ndiovyombo vinauwezo wakukuweka madarakanj tukabali kifo kipo jamaa amekufa kwamachukizo yawatu haswa wavuvi tulimuomba mungu sana na ametujalia kama unamawazo tofauti toa ushahidi tupotunaojuwa kufikiriRejea uzi fulani humu. Mkapa aliuawa ili akiuliwa Dkt Magufuli asipatikane wa ku doubt, ingawa naye Mkapa inasemekana alimtanguliza Nyerere ili wachimbe madini, yaani hivi vitu ni vuruguvurugu tupu