Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Acha pia kuvuta bangi, Bangi ina ushawishi wa ajabu na mashetani ndani yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha pia kuvuta bangi, Bangi ina ushawishi wa ajabu na mashetani ndani yake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuoa sip kigezo cha kuacha nyeto ila Kupunguzaaaaa kwa kiasi kikubwa...!! Stress za ndoa noma kuna yule waziri wa Congo alikuwa anpiga nyeto ofisini...Kuna dada mmoja alikuwa anaelezea alivyomfuma mumewe chooni mkono mmoja unakoboa mwingine ukutani.....nikajiuliza huyo mumeo kabla hajakuoa ulikuwa wapi eboo!!....
Uache nyeto ili nn mzee, ile kitu ni huduma muhimu, nyegez zikizid sana unaweza wehuka bora uchape nyetooMlio acha kupiga nyeto, mlitumia njia gani? Hili swala limekuwa majanga sana kwa watu wengi na mimi binasfi.
Ukiangalia na cost za kupata papuchi zimekuwa juu sanaa, basi ni shida tupu.. na hata ukipata papuchi, huwezi kupata mchezo ontime.
Kwan ni Ukwel kwamba ukipig master B uwezo wa kupat mtoto Haupo tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninamshukuru sana Mungu, pia nimeweka kusudia Moyoni kutokuja kupiga punyeto tena. Ilikuwa sio kila siku, ila mara nyingi sana. Na hizo siku mbili zimenifanya kuona kuwa naweza kusonga mbeleKweli ulikuwa addicted asee, yaan inaonekana kwamba ilikiwa haipiti masaa 24 ushapiga nyeto. Inamaana kila siku. Hongera kwa kuacha
May the Living LORD heal you psychological....!Nina Mshukuru sana Mungu, pia nimeweka kusudia Moyoni kutokuja Kupiga Punyeto tena,
Ilikuwa sio kila siku, ila Mara nyingi sana. Na hizo siku mbili zimenifanya kuona kuwa naweza Kusonga mbele