instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh eeh eeh...mzee we ulikuwa na pepo mchafu[emoji23]Hapa unajifariji Boss, I tell you from first hand experience.
K haijawahi kuwa kizuizi cha puchu, kuna kipindi zilikuwepo tatu kwa wakati mmoja lakini haikuzuia utekelezaji wa ilani ya chama...
Ila huu mwaka Mungu kanishushia wokovu😁😁😁eeh eeh eeh...mzee we ulikuwa na pepo mchafu😂
Punyeto inalegeza mishipa ya uume.[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu apa una mrudisha uyu ndugu kundini
Jamaa kweli alikuwa mgonjwa, tumuombe Mungu asije akarelapse mana relapse ni mbaya sana.Kweli ulikuwa addicted asee, yaan inaonekana kwamba ilikiwa haipiti masaa 24 ushapiga nyeto. Inamaana kila siku. Hongera kwa kuacha
IlinitokeaYaani punyeto imekuwa na addiction kwako kama pombe au sigara daah...pole sana
Kwanini uliamua kuianza?
Ninaomba na Nina Mikakati Nimeweka haitorudia. Nimedhamirianangoja siku ustuke usiku wa manane ukazikumbuka zile gb zako ulizoziacha [emoji3][emoji1]
Swali nzuri, nilijikuta tu nimeanza miaka mingi iliyopita, nikiwa naoga nilijishika na nikaona kuna raga enzi za Secondary hizo, hivyo nikajikuta nimeanza kupiga Punyeto.Yaani punyeto imekuwa na addiction kwako kama pombe au sigara daah...pole sana
Kwanini uliamua kuianza?
Hahahahahah umejuaje hahahahahHii mada itachochea watu kufanya punyeto. Kuna mtu baada ya kusoma tu huu uzi kasisimkwa akafanye
Hongera sana Rafiki, nimeipenda hiyo. Umenipa nguvu zaidi. Hii imeisha, kwa kuwa wapo walioweza na wewe umeonyesha mfano kwangu kujua itawezekana tuu.Mimi leo siku ya tatu na kwenye cm na gb 4 so discipline is everything
Nimeyapenda maswali yako,Katika kutatua matatizo muhimu kuzingatia Mambo mbalimbali,
Niombe kukuuliza maswaliii kadhaa;
Je unamuda gani au umedumu ktk hili kwa muda gani?
Je kwa wiki ulikuwa unafanya Mara ngapi? Kwa siku pia?
Je unahisi Kuna madhara fulani umeyapata kutokana na punyeto?
Nimeipenda post yako, Ahsante kwa kuandika kitu kilichonijenga na kuongeza hali ndani yangu.Mwanzo mzuri!...maadamu umedhamiria kuacha basi utafanikiwa tu...kila laheri.