Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Mkuu hutapata soln tofaut na kupeleka garage wachek nini shida.
Ila lazima wataangalia yafuatayo.
1. Plug kama zinachoma vizuri.
2. Transmission fruid kama ipo sawa.
3. Oil ipo ya kutosha na sio chafu na inazunguka vzuri.
4. Regeta inapoza vizuri pamoja na fans zake kama zote zinafanya kazi.
5. Fuel pump kma ipo vzur.
Ivyo vyote vikiwa sawa basi jua geabox ndyo viaz.
Ila lazima wataangalia yafuatayo.
1. Plug kama zinachoma vizuri.
2. Transmission fruid kama ipo sawa.
3. Oil ipo ya kutosha na sio chafu na inazunguka vzuri.
4. Regeta inapoza vizuri pamoja na fans zake kama zote zinafanya kazi.
5. Fuel pump kma ipo vzur.
Ivyo vyote vikiwa sawa basi jua geabox ndyo viaz.