Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,054
- 2,902
Ngoja siku ukiwa unaoa watu wakikususia ndio utaujua mchango wa wananzengo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mnajiweza mnaomba hela za michango za nini?Umaskini mbaya mtu anapmba mchnago elfu 50 mafuta ya gati siku 2 natumia elfu 50 hapo kero inatoka wapi?
Tutaenda kanisani Mimi wewe msimamizi na wazazi.ndoa imeishaSasa kama hutaki kuchangia harusi yetu itakuwaje Agata wangu?
Yani kuna mmoja hatujawahi kuonana toka tumalize secondary miaka zaidi ya nane iliyopita Leo anaomba michango.Unakuta mtu ana miaka miwili hajakutafuta then ana pop up tu from no where umchangie haruc
Kiufupi suala hili linakera sana sana, wengine tumeumbwa kwa haya tunachangia ila maumivu yanaishia ndani kwa ndani. Ila lazima tubadilike waweza fanya harusi ndogo ya chini ya 2M na maisha yakaenda. Kinachoniuma zaidi sikuchangisha mtu nilipokuwa naoa na sikutumia zaidi ya 3M ila sasa msururu wa kadi, message, simu mpaka unatamani kuzima simu.Ni kweli ndomana sitaki kuongezewa umaskini
Zamani familia ndo zilikuwa zinagharamia zenyewe. Siku hizi eti kuchangiana. Kusema ukweli ni kutiana umasikini tu. Kuteketeza mamilion kwa siku kwenye kula na kunywa ni ujinga.Zamani sio zama hizi.
Dada zako waliomba..Sijawahi omba mchango
We ndo unaeamua!!!!??Tutaenda kanisani Mimi wewe msimamizi na wazazi.ndoa imeisha
Kuna kitu anakutafutaMimi kilichonishangaza zaidi, jana kuna jamaa kanipigia kuomba mchango wakati muda huo ana deni la pesa yangu.
Kiukweli juzi nimeshangaa kidogo, huyu tulisoma nae,sasa anaoa hana kazi maalum lakn anaoa na wazazi wake kidogo mambo siyo mabaya.
Mchango 100,000 double na single 70,000/
Ikabidi tu nimuulize hii harusi ni unatafuta mtaji wa biashara ama inakuwaje? Hakujibu kitu kabisa na amesema hatokuwa na card za pesa ya chini hapo. Ukitoa 60,000 kushuka chini hakuna card! Ukitoa 80,000- single!
Nikamwambia sitakuchangia kwasababu sina hela hyo niliyonayo ni single 40,000/ tu. Akanifata inbox anasema niongezee angalau ifike 50,000/- nikachukua hela yangu nikaenda kununua mafuta ya kupikia.
Umelazimishwa kuchanga?! Naahirisha mpango wanguHivi kwanini watu mkiamua kuoana msifanye kitu kilicho ndani ya uwezo wenu,? Kama ni utamu au uchungu mnaenda kupata wewe na mkeo/ mmeo why tabu mtupe wengine.mnakeraaaa..
Nadhani hautombwi vizuriHivi kwanini watu mkiamua kuoana msifanye kitu kilicho ndani ya uwezo wenu,? Kama ni utamu au uchungu mnaenda kupata wewe na mkeo/ mmeo why tabu mtupe wengine.mnakeraaaa..
Aiseee [emoji848]Nadhani hautombwi vizuri