Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
nadhani sasa m2 akitaka kuoa au kuolewa,wajipange sio kuchangisha watu cz ts becaming too much.ela yote yaishia kwenye michango mpk unashindwa kufanya maendeleo yako... au wadau mnasemaje?
Za kwenu muliwachangisha watu za wenzenu its too much
jirekebisheni
Kwani lazima uchange.
kha! wadau bora michango ya harusi. mi nliletewa kadi ya mchango wa birthday yan nlichoka akili mwili na damu. . . saiv naanza kuzipotezea make nahisi nafanyia kazi michango tu!
Hii inatokana na watanzania kupenda kula na kunywa kuliko pitiliza!