Safi sana.
B9inafsi huwa sitoi michango ya harusi, siioni faida yake, naona ni upumbavu wa kuteketeza pesa ambazo kila siku tunalia eti maisha magumu.
Hivi michango ya harusi ina faida gani?
Ni wazo zuri sana, naunga mkono iwe inalipiwa kodi tena baada ya kodi za kawaida za mapato, iongezewe juu yake kodi ya anasa za kijinga.
Safi sana.
B9inafsi huwa sitoi michango ya harusi, siioni faida yake, naona ni upumbavu wa kuteketeza pesa ambazo kila siku tunalia eti maisha magumu.
Hivi michango ya harusi ina faida gani?
Ni wazo zuri sana, naunga mkono iwe inalipiwa kodi tena baada ya kodi za kawaida za mapato, iongezewe juu yake kodi ya anasa za kijinga.
Punguza wivu mama!Nami naomba kuuliza:
Je serikali ina mpango gani kuhusu mapato ya ma MCs, maholi ya starehe, wapambaji, wapishi wa sherehe? Je hawa hulipa kodi kwa mapato yao??
Michango inayochangwa kwa ajili ya harusi nayo ingetozwa KODI YA MAPATO. Nawasilisha
Je wewe umeolewa ,na ulipoolewa gharama za harusi yako zilitoka wapi?
True.. Unakuta bajeti milioni 50, halafu hao maharusi wenyewe wanakuja kuachana kwa jambo la kipuuzi tu
True.. Unakuta bajeti milioni 50, halafu hao maharusi wenyewe wanakuja kuachana kwa jambo la kipuuzi tu
Licha ya kuachana, unakuta watu wana dhiki hata ya ada za kuwasomesha watoto wao halafu millioni 50 zinateketezwa kwa usiku mmoja. Ni ujinga wa hali ya juu.
Yote kwanini? mashindano?
Licha ya kuachana, unakuta watu wana dhiki hata ya ada za kuwasomesha watoto wao halafu millioni 50 zinateketezwa kwa usiku mmoja. Ni ujinga wa hali ya juu.
Yote kwanini? mashindano?
Nami naomba kuuliza:
Je serikali ina mpango gani kuhusu mapato ya ma MCs, maholi ya starehe, wapambaji, wapishi wa sherehe? Je hawa hulipa kodi kwa mapato yao??
Michango inayochangwa kwa ajili ya harusi nayo ingetozwa KODI YA MAPATO. Nawasilisha
Michango ya arusi ni ushahidi tosha kuwa sisi ni jamii ya kupenda kutumia bila kuzalisha. Angalia hata budgets za ma-wizara wanatenga ma-billion ya pesa kwa ajili ya chai na vitafunio wakati wagonjwa hawana dawa, wanalala chini, barabara zimejaa madimbwi ya kuvulia samaki. Majirani wetu wa kenya, kitu kama michango ya arusi hakuna kwani maana hiyo hakuna ndoa imara huko?