Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijaowaUnaongea hivyo ukute nawe ulichangiwa/utachangiwa wakati wa kuoa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bora hata huo wa harusi Mimi Nina kadi za kuwaaga wastaafu na mchango ni jiwe (100,000/) hakuna cha double wala single kumuaga mstaafu jamani ndio kwa style hiii...??? Yeye anaenda kula pensheni cc tunaumia
..factUjinga huu sifanyagi, watu hawajipangi kuoa siku hizi
Yani michango imezidiii
Kuna haja gani ya kuchangisha michango ya harusi ilihali una uwezo? Mnaumiza sana wasiokuwa na uwezo. - JamiiForumsNdoa za mwendokasi zimekuwa ni nyingi sana skuizi, vijana wamekuwa wanamuamko wa ajabu kuowa bila kujiandaa mwishowe wanakuja kusumbua watu, Alafu unapewa kadi ya mchango yenye kiwango cha mwisho kabisa cha mchango yaani unaambiwa usitoe chini ya 100,000.
Nimeshawachangia mabest zangu wengi nilisoma nao miaka ya nyuma, nakumbuka nishawachangia mabest zangu kama 40 hivi na kati ya hao 15 ndoa zao zimeshavunjika tena ndani ya mda mfupi tu tokea wafunge ndoa
Na wengine wamekuwa ni matapeli kama yule mzee Kokobanga wa kule Instagram, wanaomba michango ukishawachangia wanaingia mitini na ndoa hamna hela wanakula, ifike mahali sasa kila mtu apambane na hali yake, ukitaka kuowa nenda kanisani au msikitini na mpenzi wako kimya kimya fungeni ndoa yenu na maisha yaendelee, mambo ya michango michango yamekuwa mengi alafu ndoa zenyewe hazidumu mnachezea hela za watu tu
[emoji51] [emoji16] [emoji16]Michango ni janga. Kila mwisho wa mwezi jamaa anakumbushia. Najiuliza hivi mimi napata pesa kiasi gani mpaka naandamwa hivi na michango?
[emoji23][emoji23]X wangu pia anaomba nimchangie
[emoji23]Unaweza kimbia mji, siku hizi hadi Graduation unakuta mtu anaomba umchangie afanye sherehe..
kama huna usitoe, kama unayo toa, kama unashida usitoe, kama hufurahii usitoe, kama hutaki usitoe..all depend on us
Yani kabisa mkuu ningeshajenga hata room moja hapoLaki moja mara 40 = 4,000,000! Hii ni sawa na gharama ya kununua tofali elfu nne za block. Kama umechanga pesa hii yote ihali bado unakaa kwenye nyumba ya kupanga, basi nakuombea rehema kwa Mwenyezi Mungu. Siku ukifa uingie Peponi moja kwa moja...
Sasa jeebaba debora nilimkataza kuchangisha kwenye harusi yetu. nikamwambia kama hawezi kukomaa mwenyewe kugharamia shuguli basi ndoa IFE. Mbona alikomaa na ubwabwa tukala. Tuna maisha yetu mazuri tu, Debora mzuri.