Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Bora hata huo wa harusi Mimi Nina kadi za kuwaaga wastaafu na mchango ni jiwe (100,000/) hakuna cha double wala single kumuaga mstaafu jamani ndio kwa style hiii...??? Yeye anaenda kula pensheni cc tunaumia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yani michango imezidiii

Unaweza kimbia mji, siku hizi hadi Graduation unakuta mtu anaomba umchangie afanye sherehe..

kama huna usitoe, kama unayo toa, kama unashida usitoe, kama hufurahii usitoe, kama hutaki usitoe..all depend on us
 
Ndoa za mwendokasi zimekuwa ni nyingi sana skuizi, vijana wamekuwa wanamuamko wa ajabu kuowa bila kujiandaa mwishowe wanakuja kusumbua watu, Alafu unapewa kadi ya mchango yenye kiwango cha mwisho kabisa cha mchango yaani unaambiwa usitoe chini ya 100,000.

Nimeshawachangia mabest zangu wengi nilisoma nao miaka ya nyuma, nakumbuka nishawachangia mabest zangu kama 40 hivi na kati ya hao 15 ndoa zao zimeshavunjika tena ndani ya mda mfupi tu tokea wafunge ndoa

Na wengine wamekuwa ni matapeli kama yule mzee Kokobanga wa kule Instagram, wanaomba michango ukishawachangia wanaingia mitini na ndoa hamna hela wanakula, ifike mahali sasa kila mtu apambane na hali yake, ukitaka kuowa nenda kanisani au msikitini na mpenzi wako kimya kimya fungeni ndoa yenu na maisha yaendelee, mambo ya michango michango yamekuwa mengi alafu ndoa zenyewe hazidumu mnachezea hela za watu tu
Kuna haja gani ya kuchangisha michango ya harusi ilihali una uwezo? Mnaumiza sana wasiokuwa na uwezo. - JamiiForums
 
Unaweza kimbia mji, siku hizi hadi Graduation unakuta mtu anaomba umchangie afanye sherehe..

kama huna usitoe, kama unayo toa, kama unashida usitoe, kama hufurahii usitoe, kama hutaki usitoe..all depend on us
[emoji23]
 
Back
Top Bottom