Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mtoa mada ulioa na harusi yako haikufana.
Hnakatisha wenzako tamaa.
Waache wanaopenda kuchanga wachange na wasiovhange usiwalaumu.
Mara nyingi aliyebena mke ama anayekaa na mtu kama kimada huwa hapendi kuchangia harusi.
Naamehe kama nimeudhi mtu
Hnakatisha wenzako tamaa.
Waache wanaopenda kuchanga wachange na wasiovhange usiwalaumu.
Mara nyingi aliyebena mke ama anayekaa na mtu kama kimada huwa hapendi kuchangia harusi.
Naamehe kama nimeudhi mtu