Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,534
- 11,449
Michango ya harusi soo...
Inarudisha nyuma maendeleo ya watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Michango ya harusi soo...
kwani lazima uchange? Unless unataka kuonekana kuwa 'unazo' au kuonekana 'mchangaji'
mie ili nikuchangie sharti naangalia ukaribu ukoje, sio mtu tulimaliza chuo miaka ya 90 kweusi, hakuna mawasiliano leo anaoa alete kadi loh......
So si kila card unachangia....
Unaweza jikuta kimshahara chote unatoa mchango...
Pia waoaji/waolewaji nao wapunguze kutaka mambi makubwa, leo nimehudhuria kikao mahali budget tena sendoff sh 15,000,000, bi harusi anaulizwaanatoa kiasi gani anadai hana hela, baba wa biharusi anapleji 300,000 khaaaa nikaona mauzauza nimesepa zangu kimya kimya
Hahahaaaaa sawa mama usijali...pia pawepo na viwango vya kawaida....km elfu tano au elfu kumi...zinatosha
Na wewe si ulichangiwa? Na kama bado, na wewe si utakuja kuchangiwa someday? Au utafunga ndoa ya watu 10, simple!
heh elfu ngapi?! Tano? Elfu 50.. Kama ni couple Laki moja na kuendelea!! Upo hapo?
Na wewe si ulichangiwa? Na kama bado, na wewe si utakuja kuchangiwa someday? Au utafunga ndoa ya watu 10, simple!
Km wengi wangejua hili ingekuwa poa sana...usiandae harusi endapo 100% unategemea michango...
jipange mwenyewe kwanza...michango iwe km nyongeza tuu...
bi dada umenilisha nn...
najikuta nareply kwako akati nilitaka kumjib erick
bi dada umenilisha nn...
najikuta nareply kwako akati nilitaka kumjib erick
Teh kwasasa ni hiyo so wakipunguza unatoa sifuri moja...km 50,000/- inakuwa 5,000
Huyu kakumiss tu....Amy twende zetu tukale 'Bagah' nahisi njaahahaha kile kinywaji cha juzi kuna vitu nlichanganya.. Sasa ukiangalia unaona Amy.. Amy..Amy.. every where!
Kwani hiyo si inatosha chakula na soda moja??? Au unaonajeUkitoa elf 5 unakaa nje ya hall usikilizie makofi na vigelegele tu..lol
hahaha kile kinywaji cha juzi kuna vitu nlichanganya.. Sasa ukiangalia unaona Amy.. Amy..Amy.. every where!
Huyu kakumiss tu....Amy twende zetu tukale 'Bagah' nahisi njaa
erick naheshim wikend yako...hahahahaaaaa...
Huyu kakumiss tu....Amy twende zetu tukale 'Bagah' nahisi njaa
hahahahahah mi simo ricky..
mmh...nataka tena aise!
This time ntaweka nyingi zaidi.. Utasahau mpaka password...lol