Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Kuna mwanetu akawa anatusimulia maskani kuhusu jamaa yake aliyeoa na ana 26 tu. Jamaa hakai nyumbani, pete ya ndoa inampa tabu kuivaa kwa model ya ndoa aliyonayo, kila siku anajilaumu kuoa mapema.
 

Kwani Kuna mzinifu..
1. Anayechelewa nyumbani kisa kuna mkorofi ndani?
2. Kuna mzinifu anayeshinda bar kisa nyumbani Kuna makelele?

Yaani HIVI KUNA MZINIFU ANAYEKIMBIA NYUMBANI?

#YNWA
 
Mada za Wanaume kulalamika kunyanyaswa na Wanawake zinazidi kuwa nyingi.
Mi sijalalamika na Wala siwezi kulalamika.

Nimeleta Uzi ikiwa tu nayashangaa maisha ya ndoa. Na sijui alioa ILI IWEJE KAMA HAYA NDIO MAISHA ANAYOISHI.

Nimemuonea tu huruma halafu HAYANIHUSU.

#YNWA
 
Hao wanaoteseka na ndoa zao ni wachache, kuna wengi wanaofurahia maisha ya ndoa.
Asimilia 90 naosikia ni malalamiko tu.
Tena Kuna wale wanaolalamikia ndani, Hawa ndio NAWAONEA HURUMA.
Maana maumivu ya ndani ni hatari sanaa.

Ila kwakuwa WALIAMUA wenyewe, waache tu wapambane.

#YNWA
 
Kusema ukweli mwanamke kuishi nae haitakiwi uwe lege lege kabisa yani unatakiwa asiwe ana kuelewa ...kuna muda uwe kauzu kuna muda uwe mpole kidogo!

Ukweli ni kwamba wanawake hawahitaji mwanaume mpole au zumbukuku lasivyo utaiona ndoa ni chungu hakika na utajuta!

Mwanaume unahama nyumba kisa mwanamke?
Aiseeee hichi ni kiwango cha mwisho kabisa cha unyonge kabisa!
Mwanamke mwenye mdomo mrefubasiye na break wewe mpige mkwara wa kumdunda au mpe makofi mawili au matatu ajue kabisa!
Mwanamke anaongea tuu ana kutusi ana chonga mdomo wewe mwanaume umesimama tuu unamuangalia?
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Mwanaume usipooa unataka uolewe? M
Anyway sijaoa na sina mpango wa kuoa hivi karibuni ila Mwanaume ni lazima uoe labda tu uwe gasho

Mwanaume hutaki kuoa kisa unaogopa kunyanyaswa na mwanamke? Ni Nini maana ya wewe kuwa mwanaume? Mwanaume unatakiwa uwe kichwa uweze kumuongoza mwanamke na siyo kupelekeshwa pelekeshwa,

Mwanamke anakukunja shati anakutikisa na wewe unatikisika? Kmmmake inatakiwa unamfanya kitu ambacho siku nyingine hatajaribu hata kunyanyua sauti yake kuizidi sauti yako, inatakiwa ajue kuwa ili nyumba iwe na amani ni yeye kuwa na heshima vinginevyo nyumba aione chungu yeye na wala siyo wewe mwanaume
 
Mwanaume usipooa unataka uolewe? M
Anyway sijaoa na sina mpango wa kuoa hivi karibuni ila Mwanaume ni lazima uoe labda tu uwe gasho
Kuwa gasho maana ake ni kusukumiwa mpini na kusukuma mpini au kusukumiwa HAKUNA UHUSIANO WOWOTEE NA NDOA.

#YNWA
 
Tuko pamoja mzee. Ila huyo demu kakupanga, wewe sio mchepuko wake wa kwanza, ashatoa sana sema ndio lugha zao usimuone malaya na ujiskie hali fulani ya 'uspesho'
 
Inawezekanaje uone nabado unakula maisha mkuu,tupe mbinu zakivita nahatutaki kukurupa ,natanguliza shukrani
Kwanza kubwa zaidi lazima ujue kwanini unaoa, je kwa ajili ya kupata mbususu tupu, mwenza(ili mradi nyumbani awepo mtu), msaidizi(kukufulia, maji ya kuoga, kupigiwa pasi n.k) tulizo la nafsi na mambo kedekede.

Ukishajua unachotaka ndio starting point yenyewe hiyo. Kuoa ni jambo ambalo bila ya collabo na mungu hutoboi ng'o, kwanza yeye ndio katuambia tuoe, sasa cha kustaajabisha tunapofikia hatua ya kuoa tunajiolea tu. Kuoa ni lazima ila baada ya ulazima wa kuoa kuna muongozo(ushauri) huu hatuufati hata kidogo, mwishowe tunaangukia kwenye majini..

Jingine kubwa kabisa mzee, oa mwanamke ambae bila ww hawezi(yaani hapindui kwako), hapa mzee inabidi ukaze saana moyo, unaweza ukapenda jitu halikupendi sasa kwa usalama wa moyo wako oa mtu ambae yeye anakupenda, hata kama we humkubali kihivyo ila usalama wako, oa huyo.
 
Tuko pamoja mzee. Ila huyo demu kakupanga, wewe sio mchepuko wake wa kwanza, ashatoa sana sema ndio lugha zao usimuone malaya na ujiskie hali fulani ya 'uspesho'
Kutembea na mke wa mtu sio sifa na hakuna uspesho wowotee...

#YNWA
 

Huyo Mwamba anakilia vyeo, mwambie ampandishe cheo huyo awe Bi Mkubwa. Bi Mkubwa abaki na maneno yachomayo kuliko pasi Raha akale na Bi Mdogo.

Bi Mdogo naye akizingua utaratibu ni uke Ile, ampandishe cheo. We live once oooh!
 
Huyo Mwamba anakilia vyeo, mwambie ampandishe cheo huyo awe Bi Mkubwa. Bi Mkubwa abaki na maneno yachomayo kuliko pasi Raha akale na Bi Mdogo.

Bi Mdogo naye akizingua utaratibu ni uke Ile, ampandishe cheo. We live once oooh!
Yaani azidi kuongeza matatizo maishani?

#YNWA
 
Ndoa zenye amani bado zipo msi generalize maisha kuna watu wana enjoy sema wanaogopa kuleta ushuhuda wasije wakaambiwa hayajakukuta.
πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†
Soma comment #25

#YNWA
 
Wanaume wenzangu bhana mnahangaikaaaa!!!
Ukitaka kuishi kwa amani na furaha ndani ya ndoa Bila kuona mdomo mrefu, makelele yasiyo na maana , ugomvi wa hovyohovyo Bila sababu maalumu kitu unachotakiwa kukifanya ni
"KUMROGA" narudia "MROGE"
Hii ndio maana ya kuishi nao kwa AKILI
Mnafikiri tulivyoambiwa tuishi nao kwa akili ni akili ipi mnadhani?
Acheni kupata tabu
Ukiona anaanza makelele na ugomvi unaenda kuongeza nyundo (UPDATE)
Hadi unakufa hutopata tabu ndani ya ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…