ππWewe nawe usiwafokee wenzako.
Kama huna hela ya kuoa usioe, waache wenzako waoe usiwapangie.
TAFUTA HELA
Hapana mkuuYaani azidi kuongeza matatizo maishani?
#YNWA
Kwahiyo wale matajiri huko nchi zilizoendelea ambao HAWAJAOA ni MASHOGA?Ukiwa shoga huwezi kutamani kuoa
Basi apambane na hali yakeWakristo huruhusiwa NDOA MOJA TU.
#YNWA
Mbele kabisa pembeni ya dereva!
Ila wewe .....
Kabisa!Umeuma na kishoka kabisa[emoji3][emoji16][emoji16][emoji1360]