Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

We yamekukuta shauri yako, sie wenzio tushatomba saana, tushafanya uhuni saana, mwishowe tumeona muhimu kuoa.

Jambo la msingi inapofikia hatua ya kuoa, oa mwanamke sababu anafaa kiwa mkeo, usioe kwa uzuri, usioe kwa akili za nyege, usioe sababu anakufinyia kwa ndani, oa mke, vijana tunakwama hapa kwenye kuoa, tunakimbilia pisi ili washikaji watusifu tuna wake wakali, ila ndani mateso, oa mwanamke ambae yeye bila ww hawezi, sio wewe bila yeye huwezi .

Lazima ujiulize why unaoa, kisha utapita njia sahihi. Ndoa ni jambo la mungu, yeye ndio katutaka tuoe, sasa tunafata amri ya muumba, tunaacha ushauri wake, tunafanya jambo la mola kihuni huni tu.

Tomba wee, ruka ruka wee, ila MKE ni jambo la muhimu, sio mwanamke, namkwambia MKE.

wanawake wapo wa aina hizo [emoji3577](sema mbili) [emoji23]
Kuna wanawake hao ni wa kutombwaa tu, huyu ukipata we toa nyege zako mbimbilise kadri unavyojiweza, ila usithubutu kuoa, ukioa huyu utajuta, ndio utakuja kulia lia hapa Jf, hakuna rangi utaacha oa, na kamaa una hasira za haraka kama watani zangu wala [emoji240][emoji190], utajinyonga kama kiongozi wao[emoji1787]
Kuna wakuolewa sasa, ukibahatika huyu, mzee oa fasta, acha akili za nyege jitulize.
 
Huwezi kukosa dada damu yangu. Awe wa bamkubwa, wa mamdogo, wa nani sijui ni dada yako huyo, ukimkuta kainamishwa sehemu lazima nafsi ikuume, ndio nduguyo huyo. Huna dada basi hata mama unae, hukosi ndugu jinsia ya kike.

Mtu mmoja aliemda kwa mtume, akamueleza kuwa yeye kazidiwa, anaombwa apige muchinga hata mara moja, mtume akamuuliza vipi ukikuta dada yako, anaziniwa, vipi akiwa ni shangazi yako, vipi kama shemeji yako, je akiwa ni MAMA MZAZI je, akapaniki akasema atachinja mtu, basi akaambiwa huyo anaetaka kumzini ni aidha dada, shangazi, mke au mama wa mtu.
 
Wasipokuelewa basi.
 
Wenzio wanaoa wa kupiga nao picha kutupia status,na kujirekodi video tiktok[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…