Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Alioa zama hizo ndoa ikiwa katika misingi yake, nyie mmeamua kuvuruga misingi ya ndoa kwa kumpa haki zote mwanamke (kisheria) sasa nioe kutafuta nini!!!??
NDOA NI KWAAJILI YA WAJINGA WACHACHE KAMA WEWE
NDOA NI UTAPELI
#KATAANDOA

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Huna hoja naona malalamiko tu yenye chuki aisee
 
wewe juzi tu ulikua una lia lia demu alikufanyia mazingira almanusura wakufanyie kitu mbaya.
halaf leo unakuja kuwatetea haya maviumbe ya ajabu humu
Yule ni demu Ina maana wewe huna demu mzee wakupiga nakutema siyo permanent
 
Back
Top Bottom