Huna hoja naona malalamiko tu yenye chuki aisee
 
wewe juzi tu ulikua una lia lia demu alikufanyia mazingira almanusura wakufanyie kitu mbaya.
halaf leo unakuja kuwatetea haya maviumbe ya ajabu humu
Yule ni demu Ina maana wewe huna demu mzee wakupiga nakutema siyo permanent
 
Mwanaume kamili hakatai ndoa ukikataa kuoa maana yake unataka ufanyiwe kinyume chake kuwa makini acha kufata mkumbo na utoke kwenye huo uvulana ulio nao
Hawana hoja Bali wanafuata mkumbo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…