NDOA NI MPANGO WA KUMFILISI MWANAMUME
 
Kiongozi unahangaika biashana na KK kula bure kulala bure, mwanaume liyelelewa kwenye mazingira yakuju wajibu wake hawezi sema kataa ndoa hawa kataa ndoa ni wale Mario omba omba upinde wa mvua, ambao wamezoea kukaa jikoni na dada wa kazi so hata wanawake wanaowapata wanataka shinda nao mda wote at the end wanapishana cause mwanamke anaitaji matunzo na umdharau Kwisha sio matunzo umchunge
 
Hata walipwe 10M siwezi kuoa, Uhuru wangu una thamani kubwa.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
. Nje ya mada vp sasa kama hakuna ndoa inamana hakuna kuzaana itawezekana vp tusizaane? Kitu ambocho hakiwezekani lazima tuzaane. Tunazaana vp kama sio kwa zinaa?
Yesu alioa ?

Bible imesema , na muende mkazaane

haikusema, muende mkanunuane kisha mfugane ndani

NDOA NI UPUMBAVU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…