Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
KATAA NDOAKATAA USHOGA
PIGA VITA KATAA NDOA
NDOA NI KWAAJILI YA MANYUMBU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KATAA NDOAKATAA USHOGA
PIGA VITA KATAA NDOA
uko nje ya madaKweiyo we mtoto wa zinaa?
KATAA UJINGAKATAA USHOGA
PIGA VITA KATAA NDOA
NDOA NI MPANGO WA KUMFILISI MWANAMUMEJamaa mwanaharakati tu wa mtaa akajichanganya akaoa mtumishi akitegemea life litakuwa poa
Wakapata watoto kadhaa,walipoanza kwenda shule,hyo tumishi ikampanga jamaa wawapeleke watoto shule bora za kiwango,jamaa akakubali,baada ya muda ikamtelekezea ulipaji wa ada,jamaa kapambana mpaka watoto wakamaliza primary
Ile kwenda seko ikabidi jamaa awapeleke shule za kata ili apumue kidogo,hyo tumishi haitaki inataka watoto waendelee kusoma shule za gharama wakati huo jamaa hayuko poa kiuchumi
Mgogoro umekuwa mkubwa mpaka jamaa hana hamu na hyo tumishi pesa yake haijulikani inakokwenda
NAKAZIAKATAA NDOA
NDOA NI KWAAJILI YA MANYUMBU
NA KUMNUFAISHA MWANAMKENDOA NI MPANGO WA KUMFILISI MWANAMUME
KATAA NDOA
NDOA NI KWAAJILI YA MANYUMBU
KATAA UJINGAKATAA USHOGA
PIGA VITA KATAA NDOA
KATAA USHOGAHebu nieleze kuna uhusiano gani kati ya ushoga na kutooa? Na nipe mifano halisi ya ambao hawajaoa wamekuwa mashoga
demu wakati ulisema ulikua unahudumia na ulikua unamuahidi kwamba utakua mwema kwake.Yule ni demu Ina maana wewe huna demu mzee wakupiga nakutema siyo permanent
NA KUMNUFAISHA MWANAMKE
KIJANA AMKA SASA, TOKOMEZA NDOA
Hata walipwe 10M siwezi kuoa, Uhuru wangu una thamani kubwa.Ili kuvunja nguvu yao hawa wakataa ndoa, itabidi tuweke Kipengele maalumu kwenye Katiba Mpya Serikali iwalipie Mahari Vijana wake wa Kiume wote pindi wanapotaka kuoa.
Hii itawavutia wengi kuoa, lakini pia Serikali iwalipe posho Maalumu kiasi cha shilingi 150,000 Vijana wote wa Kiume walio oa ili kuwavutia Vijana wenzao wa Kiume Kuingia kwenye Ndoa [emoji2957]
NAKAZIAHata walipwe 10M siwezi kuoa, Uhuru wangu una thamani kubwa.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
NDOA NI MIPANGO YA KUMKWAMISHA MWANAUMEKATAA USHOGA
PIGA VITA KATAA NDOA
NAKAZIANDOA NI MIPANGO YA KUMKWAMISHA MWANAUME
UNAENDA KAZN ANAGAWA MBUSUSU
USIKUTE KATAA NDOA NDO ANAMCHAKATA
Afande wa Unguja kawaumbua sanaKATAA USHOGA
PIGA VITA KATAA NDOA
. Nje ya mada vp sasa kama hakuna ndoa inamana hakuna kuzaana itawezekana vp tusizaane? Kitu ambocho hakiwezekani lazima tuzaane. Tunazaana vp kama sio kwa zinaa?uko nje ya mada
Na wake zao hawana gharama kwa sababu kuna janaume bwege linamhudumia sisi tunagonga kisela hatuingii gharamaNDOA NI MIPANGO YA KUMKWAMISHA MWANAUME
UNAENDA KAZN ANAGAWA MBUSUSU
USIKUTE KATAA NDOA NDO ANAMCHAKATA
Yesu alioa ?. Nje ya mada vp sasa kama hakuna ndoa inamana hakuna kuzaana itawezekana vp tusizaane? Kitu ambocho hakiwezekani lazima tuzaane. Tunazaana vp kama sio kwa zinaa?