Unafikiri tatizo ni ndoa? Ndoa sio tatizo mkuu, tatizo lipo hapo kwenye sheria/haki za kipumbavu zilizowekwa kwa ajili ya kumtetea sana mwanamke na kumuacha mwanaume vulnerable.

Ukitaka kuamini hilo tafuta demu mtaani anzisha mahusiano mtaenda vizuri na furaha tele ila ingia nae kwenye ndoa hautachukua mwezi utakuja na uzi wako unalia lia maana mwanamke anakuwa na kiburi, dharau na kujiamini vibaya mno

Ila hawa wanawake wasiringe sana maana kitu ambacho kinakuja kutokea ni kibaya sana yale maisha ya sodoma na gomora tumeanza kuyaishi, ambapo mwanaume shoga alipewa thamani kuliko mwanamke

Haki za wanawake zitapotea siku si nyingi, kutakuwa na haki za mashoga, thamani ya mwanamke itapotea.

Leo hii shoga akienda ubalozi wa marekani akaomba viza kwenda marekani atapewa viza mapema bila usumbufu wowote, hali inatisha.
 
Mkuu si UOE ??

Watu wanakataa kuoa hawakukatazi wewe kuoa ,,sijui umeelewa!!

Oa mkuu.
 
Hapa umengoea na kundi fulani, hujaongea na wote wapo ambao watakupinga na wewe usipingane nao, ishi unachoamini waache waishi wanachoamini. Hatuwezi kufanana.
Indeed, mkuu. Na ndiyo maana bandiko langu limeanza na phrase, "Kwa sisi Wakristo".

Hata hivyo naamini hata kule upande wa pili mafundisho yao kwenye maswala ya ndoa hayawezi kupishana sana na haya.

Nimependa hapo, "Hatuwezi kufanana".
 
Mnaibrand kwa kuendelea kuiongelea kila siku…
Mnaooa oeni
Wanaokataa waacheni
Kuacha kulizungumzia jambo flani na kuacha "lacuna" hakufanyi jambo hilo kupuuzwa, pengine hatari zaidi inaweza kusababishwa kwa kuvunga tunalipotezea wakati lipo. Ni afadhali vijana waendelee kufundwa ili kuandaa kizazi cha vijana wawajibikaji.

Nimependa tu hapo, "Mnaooa oeni, Wanaokataa waacheni". Period!
 

Alisema zaeni mkaongezeke sio mfunge ndoa mana kuzaa unazaa tu bila hata ndoa.
 
Nimekuelewa mkuu.

Kwenye maisha kuna kanuni moja ya asili inasema, "ukianza na Mungu lazima utamaliza na Mungu".

Shida ni moja kwamba, tukiwa kwenye mchakato wa kutafuta wenza wetu huwa hatuanzi na Mungu, matokeo yake Mungu anashindwa kumaliza na sisi.

Ndiyo maana unakutana na msichana kituko ambaye baadaye anakusababishia sonono moyoni sambamba na magonjwa yasiyoambukiza (au hata ya kuambukiza); au pengine hata kifo katika umri mdogo.
 
Mkuu siku ikatokea nimebananishwa kuliko nipakwe mafuta nitajiua chap kama wasamarai.
Kuna mwenzio nilimkosa nilisikia amekuja kwangu kama kwake nikaenda kuazima Gun kwa ndugu yangu nilitaka nimtandike yeye na shemeji yake
 
Kama wewe binafsi umeona CHANGAMOTO ZA NDOA zinakwepwa kwa kutokuoa...basi BAKI HIVYO HIVYO NA UFUSKA WAKO USIOE...

Sio kutwa kushinda kusambaza kampeni ya KISHETANI usioe...eti kisa ndoa ina changamoto nyingi...

Mkimaliza kukimbia changamoto za ndoa kwa wanawake...mtakuja kupiga kampeni juu ya CHANGAMOTO ZA MAMA ZENU...kwa sababu nao ni wanawake...

Kwanza MWANAUME RIJALI KAMILI HAKIMBII CHANGAMOTO...ANAZIKABILI...ANAPAMBANA NAZO...

Isije kuwa nyie mnaopiga kampeni watu wasioe...ni AGENTS WA USHOGA...Kwahiyo kwenye suala la kuoa mnatumia kama njia tu foreplay...ili mfikie malengo yenu ya kusambaza ushoga...

Kwa sababu usipotaka kuishi na mwanamke...basi unataka kuishi na MWANAUME MWENZIO...

Hakuna kuishi mwenyewe...anayeishi mwenyewe ni MAITI TU KABURINI...

MASHEYTWAANI WAKUBWA NINYI...
 
WAKRISTO ZINAA KWAO SIO DHAMBI KUBWA...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…