Mkuu unaweza ukawa nayo na ukalala ma wengi tu mbonakinachofany ndoa tuione km utumwa ni vile inataka ulale na mke/mme mmoja tu maisha yako yote wakat kiuhalisia na ktk nature hakun mtu mwenye kulimdu hilo, otherwise awe mgonjwa
Ww ni timu kataa ndoaHilo swala jingine sio ndoa Sasa, we kama una uwezo hata Wanawake kumi oa tu .
Sawa lakn unakuwa unaish kinyume na sheria ya ndoaMkuu unaweza ukawa nayo na ukalala ma wengi tu mbona
Kama ndoa ni kuishi na mwanamke tu naishije nje tena ya sheria za ndoa ?angalau ata kidgo ndoa za kiislamu zna faida unapiga threesome kila mtu anajua ni halali , ila likibuma lazima ulie tu ila kuna kafaida[emoji3][emoji3]Sawa lakn unakuwa unaish kinyume na sheria ya ndoa
tatizo hela mmoja tu kazi kumlishaHilo swala jingine sio ndoa Sasa, we kama una uwezo hata Wanawake kumi oa tu .
Kama ni hivyo mbona wana zengo wanasema mnaishi bila ndoa , wakati kila mtu anajua sasa mimi nimeoa?Narudia tena.
Ndoa ni nomino.
Kuoa ni kitenzi .
Haiwezikani ukasema nimeoa alafu muda huohuo useme Sina ndoa. au useme Nina ndoa ila sijaoa.
Ndoa ni Hali inayoweza kumpata muda wowote. Kuoa ni kitendo cha kuishi maisha ya ndoa. Hicho mnachokikataa kipeni jina.
Hiyo itakuwa familia sasaNarudia tena.
Ndoa ni nomino.
Kuoa ni kitenzi .
Haiwezikani ukasema nimeoa alafu muda huohuo useme Sina ndoa. au useme Nina ndoa ila sijaoa.
Ndoa ni Hali inayoweza kumpata muda wowote. Kuoa ni kitendo cha kuishi maisha ya ndoa. Hicho mnachokikataa kipeni jina.
Familia ni kitu kingine, sio ndoa wala kuoa .Hiyo itakuwa familia sasa
Ndio maana nikasema ziangaliwe kikubwa sio kuangaika tena na wengi wa watu wanaokataaLakini umekubali kwamba hizo Sheria zipo.
Baba mama na wototo ni familia , kama baba mama na watoto ni familia kwa nini ndoa?Familia ni kitu kingine, sio ndoa wala kuoa .
Ukiishi pamoja na hio familia ndio NDOA (umeoa) Sasa, hata kama hujafanya harusi.Baba mama na wototo ni familia , kama baba mama na watoto ni familia kwa nini ndoa?
Ndo ushangae!Baba mama na wototo ni familia , kama baba mama na watoto ni familia kwa nini ndoa?
Kwaio tukubaliane kuwa haupingi ndoa wala kuoa ila unapinga Sheria za Ndoa. ?Kenya wamebadi sheria moja kubwa sna ya kipuuzi kwenye ndoa .
Ukiishi pamoja na hio familia ndio NDOA (umeoa) yenyewe Sasa. Hata kama hujafanya harusi (sherehe)Ndo ushangae!
Wanataka sherehe sio ndoa.Kama ni hivyo mbona wana zengo wanasema mnaishi bila ndoa , wakati kila mtu anajua sasa mimi nimeoa?
Mkuu harusi ni sherehe tu watu wanaishi na mwanamke then wanafunga ndoa wakitoka apo kama wanauwezo wanaenda ukumbni kwa harusi , kuna vitu vitatu apo .Ukiishi pamoja na hio familia ndio NDOA (umeoa) Sasa, hata kama hujafanya harusi.
Mkuu kumbe ukiishi na mwanamke una ndoa , kumbe unaweza kata viza ya ww na mkeo mkasafir ughaibuni kama mke na mume?Wanataka sherehe sio ndoa.
Uko unapokuja ndio unatafuta faida za kuwa na Cheti cha ndoa.Mkuu kumbe ukiishi na mwanamke una ndoa , kumbe unaweza kata viza ya ww na mkeo mkasafir ughaibuni kama mke na mume?