min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kijana kataa ndoa , ndoa ni utapeli kwa dunia ya sasa , haina faida yoyote kwa mwanaume wa sasa., afya yako ya akili ni muhimu kuliko ndoa cr7 hana ndoa Messi hana ndoa billgate alikua na ndoa sasaiv anatatizo la akili ,kijana kataa ndoa kabsa hasa hizi za kikristo ni mwiba mkali mno