costadiego
Member
- Feb 28, 2022
- 76
- 86
Kwa ww unaona utapata kitu kwenye ndoa funga ila kwakweli hakuna Cha maana kwenye ndoa zaidi ya migogoro ilisiyoisha nakusumbua watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalizo usipokee ushauri kuhusu ndoa kutoka kwa wanawake.Ila umeongea ukweli mm napenda kuoa
Pia ni utapeli yani nimetengeneza ka system kngu kapesa nije niweke tapeli karbu?'
''Why do I need to invite (1)church (2)government (3)family court (4)divorce lawyers in my love life.''Pia ni utapeli yani nimetengeneza ka system kngu kapesa nije niweke tapeli karbu?
Ogopa ndoa wewe kijana.Mnaendelea Kufanya uharibifu na kuwapa ujauzito watoto wa watu.
Humu mtu akileta Uzi analalamika kuhusu mapenzi na ndoa utaona comments,
"Kijana kataa ndoa."
"Kimbia ndoa."
"Hakuna kuoa."
"Kindly evacuate, do you copy."
"Mbususu zimejaa."
Mbona hamsemi kataa uzinzi.[emoji2955]
Mmekulia familia za single parents? Mbona wengine hapa mmelelewa na baba na mama?
Cha kushangaa Kila siku vijana ndo wanaoongoza kwa kuoa Tena wale wa under 30[emoji23]. Mimi naona hizi anonymous ID zinatufanya tudanganyane kumbe Kuna wengine wapo kwenye harakati za kuoa.
Kwa niaba ya wanawake wa JF tunakataa kubeba ujauzito kabla ya ndoa.
View attachment 2452960
NB:: Sijapewa ujauzito [emoji779]
Sijui ilikuwaje kuwaje ila basi nipo ndani tayari ila nahisi ni God's sakeMnaendelea Kufanya uharibifu na kuwapa ujauzito watoto wa watu.
Humu mtu akileta Uzi analalamika kuhusu mapenzi na ndoa utaona comments,
"Kijana kataa ndoa."
"Kimbia ndoa."
"Hakuna kuoa."
"Kindly evacuate, do you copy."
"Mbususu zimejaa."
Mbona hamsemi kataa uzinzi.[emoji2955]
Mmekulia familia za single parents? Mbona wengine hapa mmelelewa na baba na mama?
Cha kushangaa Kila siku vijana ndo wanaoongoza kwa kuoa Tena wale wa under 30[emoji23]. Mimi naona hizi anonymous ID zinatufanya tudanganyane kumbe Kuna wengine wapo kwenye harakati za kuoa.
Kwa niaba ya wanawake wa JF tunakataa kubeba ujauzito kabla ya ndoa.
View attachment 2452960
NB:: Sijapewa ujauzito [emoji779]
Jamaaani eti hujui ilikuwajekuwaje basi sawa🤣Sijui ilikuwaje kuwaje ila basi nipo ndani tayari ila nahisi ni God's sake
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Nampenda sana ila sasa ukiniuliza niliowaje ni vichekesho ila true love is real asee .Jamaaani eti hujui ilikuwajekuwaje basi sawa[emoji1787]
Mpende mkeo
Risks inategemea unaitazamaje. In fact, kila kitu hapa duniani kina risk. Mungu huitazama ndoa kama taasisi, ina vitu vingi na ndani yake kuna baraka ya watoto na sio kiwanda Cha kufyetua watoto maana wengine wakiona wenziwao wana changamoto za uzazi hutafuta dirisha la kutokea.Bantu Lady usinambie wanaooa bila kuzaa na mwanamke ni risk takers😂🙌
Ndoa ni mtego 😁
Mie siipingi, nawasaidia wanaoipingaHata wewe unaipinga?
Acha tuoane tuMie siipingi, nawasaidia wanaoipinga
Kwani kuoa ni suluhisho la uzinziMnaendelea Kufanya uharibifu na kuwapa ujauzito watoto wa watu.
Humu mtu akileta Uzi analalamika kuhusu mapenzi na ndoa utaona comments,
"Kijana kataa ndoa."
"Kimbia ndoa."
"Hakuna kuoa."
"Kindly evacuate, do you copy."
"Mbususu zimejaa."
Mbona hamsemi kataa uzinzi.[emoji2955]
Mmekulia familia za single parents? Mbona wengine hapa mmelelewa na baba na mama?
Cha kushangaa Kila siku vijana ndo wanaoongoza kwa kuoa Tena wale wa under 30[emoji23]. Mimi naona hizi anonymous ID zinatufanya tudanganyane kumbe Kuna wengine wapo kwenye harakati za kuoa.
Kwa niaba ya wanawake wa JF tunakataa kubeba ujauzito kabla ya ndoa.
View attachment 2452960
NB:: Sijapewa ujauzito [emoji779]