Dakarai
JF-Expert Member
- Jan 17, 2023
- 671
- 1,245
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidume, hatuoi sahiviwow!
wow!
wewe ni ke?
kwa kweli bro .Kidume, hatuoi sahivi
it's a 3 rings circusKidume, hatuoi sahivi
Kataa ndoa afya ya akili ni muhimu kuliko hiyo ndoait's a 3 rings circus
- engagement ring
- wedding ring
- SUFFERING
Jarbu kufanya tafiti kwanzaIla umeongea ukweli mm napenda kuoa
Jarbu kufanya tafiti kwanza
kina kirefu Mungu ni roho, roho haihitaji mke.Mungu alimwoa nani
Mkuu unachokitarajia kitakuumiza mno. ,ndoa ni nzuri zamn kipnd hichi cha 50 50 ndoa kwa mwanaume haina maanaNi kweli aisee kama mtu umekulia kwenye mikono ya wazazi wote wawili Tena ndo Kama una wadogo zako,Kaka au dada zako Ile furaha ambavyo inatawala nyumbani Yale mapenzi kutoka kwenye familia yenu huwezi ukaacha kuoa Yani kunakuaga na hisia tofauti aisee kama mtu umepata mapenzi yote kutoka kwenye familia lazima utamani kuwa na familia yako
Hatuoi na tunazaa na walio olewaWasipoa wataolewa
Mpango wa Mungu umeandikwa wap tuoe kwa ndoa? Na mpigane mapete vidolenNdoa ni mpango wa Mungu. Je kataa ndoa ni mpangonwa nani?
Taja ktabu kilichoaandika mfunge ndoaAtakua ni adui wa Mungu
Pia ni utapeli yani nimetengeneza ka system kngu kapesa nije niweke tapeli karbu?Ndoa ni mtego [emoji16]
Kuna kesi nyingi mahakamani wanandoa wanawake wengi wanaingia kwenye ndoa kimtego anajua akishavunja ndoa tayari mali anajipatia kiurahisiNimeona kuna nyuzi nyingi sana hapa JF zikihamasisha vijana kupinga masuala ya ndoa. Mtu kakurupuka huko kaona familia moja ina matatizo yao basi moja kwa moja analeta uzi kuwa ndoa haifai. Ndoa zimekuwepo toka enzi na enzi na changamoto kwenye familia hazikosi lakini leo mtu anakwambia kirahisi tu eti kataa ndoa.
Ndoa ni muhimu sana kwa mwanamume na mwanamke, ile hali ya kukaa pamoja kama familia inakufanya ujihisi tofauti na kipindi kile ukiwa peke yako. Matatizo kwenye ndoa hayakosekani ila hiyo sio sababu ya kufanya kuepuka ndoa.
Hawa watu wanaopinga ndoa naona ni wakwepa majuku, vijana mnaogopa majuku ya kifamilia? Inasikitisha sana. Ewe kijana ingia kwenye ndoa ukiwa tayari umekoamaa kiakili haswa acha kupumbazwa na maneno ya watu.
Changamoto ama majukumu huwezi kuyakimbia kamwe, za kuambiwa changanya na zako.