Nakazia Kataa NdoaKijana kataa ndoa , ndoa ni utapeli kwa dunia ya sasa , haina faida yoyote kwa mwanaume wa sasa., afya yako ya akili ni muhimu kuliko ndoa cr7 hana ndoa Messi hana ndoa billgate alikua na ndoa sasaiv anatatizo la akili ,kijana kataa ndoa kabsa hasa hizi za kikristo ni mwiba mkali mno
Kusema kweli mbali na heading tu habari yenyewe sijaisoma. Heading yako imeniaminisha kwamba unapiga vita uzinzi na kutetea ndoa ndo nami nikasema vijana marijali wafanyeje kabla ya kufunga ndoa?Hivi umesoma na kuelewa nilicho kiandika au umekutupuka.
Ndoa ni kifo na kitanzi kwa mwanaume , ndoa inasababisha ukifumania live ukitaka kupiga chini unanyang'anywa kila kitu , ndoa haifai kwa dunia ya sasa , ogopa sna mwanamke anaelazimisha mfunge ndoa piga chini mapemaNakazia Kataa Ndoa
Ndoa NI Wizi
Nakazia hapaHaya twende kazi:
Kijana rijali kabisa hana kasoro damu inachemka na ambaye pengine ataoa miaka 10 huko mbele ya safari afanye nini ili kuzima kiu zake za kimaumbile hasa ukizingatia kuwa hata kunyetoka nako ni dhambi?
Katika hali ya kawaida, wewe unaweza kukaa miaka 10+ bila kufanya mapenzi, zinaa, uasherati au huo uzinzi unaousema huku ukisubiri mpaka utakapooa?
Mnapokuja na hizi nadharia mje pia na masuluhisho-tendeka (practical solutions).
Vijana wafanye nini?
well said, huu ni zaidi ya ujambaziNdoa ni kifo na kitanzi kwa mwanaume , ndoa inasababisha ukifumania live ukitaka kupiga chini unanyang'anywa kila kitu , ndoa haifai kwa dunia ya sasa , ogopa sna mwanamke anaelazimisha mfunge ndoa piga chini mapema
tena hizo nyingi ni maigizo , zilishajifia miezi miwili tu baada ya sherehehasa ndoa zakikristo ni mwiba kwa mwanaume .
Kabsa mkuu hii kitu ni mbaya mno ata watoto wngu wakiume nawajengea wasije jarbu huu ujinga, tunapoelekea ni kuwa na watz wengi watoto wa masingle mothers , unafikiri nan atakuja kuingia kwenye ndoa na watoto wa ma single mother ? Ndoa inaendea jifia na apo ndipo wanaume wataishi miaka mingitena hizo nyingi ni maigizo , zilishajifia miezi miwili tu baada ya sherehe
nna jirani yangu hapa ananisimulia kila siku mzozo huko ndani, anajenga karib hapa, yaani namuonea huruma, kwa muonekano kachoshwa sana na ndoaKabsa mkuu hii kitu ni mbaya mno ata watoto wngu wakiume nawajengea wasije jarbu huu ujinga, tunapoelekea ni kuwa na watz wengi watoto wa masingle mothers , unafikiri nan atakuja kuingia kwenye ndoa na watoto wa ma single mother ? Ndoa inaendea jifia na apo ndipo wanaume wataishi miaka mingi
Aisee 😂😂well said, huu ni zaidi ya ujambazi
Ndoa ni kama ngao kwa mwanamke , haki sawa ni mkuki na silaha yake mkononi , dawati la jinsi ni ngome yake kuu , ebu fikria akiwa na ndoa ,haki sawa na mtoto na dawati la jnsia lazima akili iruke , jiulize tu kwa nini tamaa kuu ya mwanamke ni kuwa kwenye ndoa zaid kuliko kuwa kwenye mahusiano? Ewe kijana epuka huo mtego ni utapeli wa wazi wazinna jirani yangu hapa ananisimulia kila siku mzozo huko ndani, anajenga karib hapa, yaani namuonea huruma, kwa muonekano kachoshwa sana na ndoa
ndoa wala haina uhai tena, na kibanda chake anachokijenga kwa kuunga unga kitagawanyishwa chap wakiachana , huu wizi wa waziwazi wa ndoa ni wa kuukemea vibaya sana, ni mzigo mkubwa kwa ME
mke akikupeleka mahakamani, ME huchomoi hata kwa ndumba, "nimenyanyaswa napigwa kila siku, nalazimishwa kutoa TeeGo, NATAKA talaka yangu"Ndoa ni kama ngao kwa mwanamke , haki sawa ni mkuki na silaha yake mkononi , dawati la jinsi ni ngome yake kuu , ebu fikria akiwa na ndoa ,haki sawa na mtoto na dawati la jnsia lazima akili iruke , jiulize tu kwa nini tamaa kuu ya mwanamke ni kuwa kwenye ndoa zaid kuliko kuwa kwenye mahusiano? Ewe kijana epuka huo mtego ni utapeli wa wazi wazi
Usipo kua na ndoa mwanaume unaishi na mwanamke vizur mno , ukifunga ndoa mwanamke anaanza kizaa zaa ashapewa cheti chake cha utapeli huku mawakili wake wa dawati la jinsi wakiwa macho ,wanaume wanaoishi kwenye ndoa ni magoigoi na waoga hawana uhuru wakuwa kiume zaid mbele ya wake zao hasa hawa wenye ndoa za kikristo , wamepigwa nyundo ya maisha kwamba kwnye shida wapo kwenye raha wapo ila wengi wao kifo kinawatenganisha.mke akikupeleka mahakamani, ME huchomoi hata kwa ndumba, "nimenyanyaswa napigwa kila siku, nalazimishwa kutoa TeeGo, NATAKA talaka yangu"
hakuna kusikiliza upande wa ME, bwana hakimu anapiga nyundo mezani "mchakato wa talaka uanze, mchakato wa ugawaji mali uanze pia"
Ushaibiwa Hapo, kweupe kabisa bila silaha yoyote